Ninafeli wapi? Wana jamvi karibuni kwa ushauri

Ninafeli wapi? Wana jamvi karibuni kwa ushauri

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,466
Moja kwa moja kwenye mada..

Kuna binti mmoja nampenda sana na hata yeye analijua hilo nili mu approach tena nikiwa serious kwamba nataka kumuoa. Alinikatalia juu ya ombi langu hilo.

Kama kawaida wanaume sisi ni ving'ang'anizi niliendelea kumshawishi ukaribu ukazidi mpaka nikapewa tunda nikawa natafuna. Ni miezi tisa sasa nambandua na tunatoka out several times kula raha hata wiki nzima tunaweza jichimbia somewhere hasa anapokua likizo ( maana yeye ni mtumishi wa serikali).

Cha ajabu ni kuwa pamoja na yote tunayofanya bado hajakubali kuolewa na mimi.

Sijajua nafeli wapi mpaka sasa hivi maana amekataa kabisa pamoja na kuwa yeye mwenyewe anathibitisha kuwa nina uwezo wa kulea familia.

Mwanzoni niliwaza kwamba labda alinipenda ili atumie hela zangu tu lakini No sio mpenda pesa kiivyo maana hata baadhi ya gharama hutoa mwenyewe na huninunulia zawadi za thamani tu mpaka nashindwa kuelewa anataka nini.

Wadau na wajuzi wa mambo hebu nisaidieni anataka nini huyu kama kuolewa amekataa?

Ninafeli wapi mimi kumchukua huyu mtoto?
 
Wanawake wa karne hii hawapendi kuolewa kwani wanaona kama watabanwa katika majukumu yao yasiyo rasmi, so kwa ushauri wa kibeach boy huyo endelea kugegeda kisha tafuta mke ambaye ana maadili , hapo kwa mke hakuna we kula tu raha zako kishkaji hata akikutoka ushamtafuna kinyama au sio mazee?
 
Hayupo tayari usimlazimishe halafu uje na uzi wa kulia tena hapa kama hataki muache sio kila mahusiano lazima yafike ndoa jamani
 
Wanawake wa karne hii hawapendi kuolewa kwani wanaona kama watabanwa katika majukumu yao yasiyo rasmi, so kwa ushauri wa kibeach boy huyo endelea kugegeda kisha tafuta mke ambaye ana maadili , hapo kwa mke hakuna we kula tu raha zako kishkaji hata akikutoka ushamtafuna kinyama au sio mazee?
Mkuu mpaka leo namshangaa maana kuna ambao nimeshindana nao huko kwa sababu wali force kuolewa
 
Atakupeana company ivyo ivyo kunatosha
 
Mkuu mpaka leo namshangaa maana kuna ambao nimeshindana nao huko kwa sababu wali force kuolewa
ila kumbuka wahenga walisema kila likuepukalo lina kheri nawe huwezi jua anakwepa jambo gani pengine wana shida fulani katika familia yao so hataki akupe hiyo shida nawe kwenye familia yako.Kuwa na subra mke mwema utapata wakati ukifika
 
Endelea kua nae usiforce kumuoa mambo yatajiset mbeleni
Tatizo sisi huwa tunapenda taratibu
Kuna wakati nilidhani ana test mitambo tu nikajaribu kumwambia kwamba mimi muda wa kuoa umefika kwa hiyo aniambie au kama vipi niachane naye nitafute mtu mwingine. Akasema it's okey kama naona ananichreewesha basi amenipa ruhusa nitafutr mwanamke mwingine wa kuoa and she was serious on it. Hapo ndo nilichoka
 
Back
Top Bottom