mzee wa magumashi
Senior Member
- Oct 10, 2012
- 137
- 44
Ndugu zangu najua wote humu wengi tumepitia ajira so me ni mwl nimeajiliwa nimeomba ruhusa kwenda shule ila ofisa Elimu wangu hataki na ninahitaji sana kwenda kusomea afya nomefaya maamuzi ya kutoka bila taarifa.na pia nimekopa benk mshiko mrefu tu.ambao nategemea kwenda kuanzia shule.
Wan if naomben ushaur utapat hasara ipi lakin ikumbukwe kwamba natoka sector ya Elimu naenda AFYA.
Wan if naomben ushaur utapat hasara ipi lakin ikumbukwe kwamba natoka sector ya Elimu naenda AFYA.