Mimi nina umri wa miaka 19 nipo form 5. Ila inaniwia vigumu kuendelea vizuri na masomo kwa sababu za kiafya, ninahisi nina kisukari japo sijapima ila dalili zote ninazo kama miguu na mikono kufa ganzi, sometimes kuishiwa nguvu na jicho la kulia hushindwa kutazama jua kali.
Ninaomba mnisaidie ushauri jinsi gani ya kulihandle gonjwa hili hali nipo boarding ambapo chakula kikuu ni ugali maharage sometimes wali ambavyo vyakula vyote ni wanga na ninavyojua mgonjwa wa kisukari hatakiwi kula vyakula vya wanga kwa wingi.
Naombeni pia mnijuze gharama ya vipimo vya kisukari pia hospitali ipi niende kwa uhakika zaidi, nipo Dar. Naombeni mnisaidie ndugu zangu ili niweze kufanya vizuri katika masomo na ikizingatia nipo PCM ambopo masomo yanahitaji muda mwingi wa kusoma ilhali mimi muda mwingi huwa nakosa raha ya kusoma hasa pale ninapohisi ganzi imenishika, kwani hunitokea kila siku.
Nisaidieni jamani.
Ninaomba mnisaidie ushauri jinsi gani ya kulihandle gonjwa hili hali nipo boarding ambapo chakula kikuu ni ugali maharage sometimes wali ambavyo vyakula vyote ni wanga na ninavyojua mgonjwa wa kisukari hatakiwi kula vyakula vya wanga kwa wingi.
Naombeni pia mnijuze gharama ya vipimo vya kisukari pia hospitali ipi niende kwa uhakika zaidi, nipo Dar. Naombeni mnisaidie ndugu zangu ili niweze kufanya vizuri katika masomo na ikizingatia nipo PCM ambopo masomo yanahitaji muda mwingi wa kusoma ilhali mimi muda mwingi huwa nakosa raha ya kusoma hasa pale ninapohisi ganzi imenishika, kwani hunitokea kila siku.
Nisaidieni jamani.