GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,721
- 109,155
Naomba miaka ya baadae (mbeleni) huko nje ya kuwataka Wagombea wawe na Elimu Kubwa ila pia wawe Wanapimwa kama ni Werevu Kiuhalisia kwani kuna tofauti Kubwa mno kati ya kuwa Msomi (Intellectual) na kuwa Mwerevu (Intelligent) lakini bahati mbaya kwa Tanzania yetu Msomi anajumlishwa kuwa nae ni Mwerevu.
GENTAMYCINE nawatizama hawa Wateuliwa wa CCM ambao wanataka Kugombea Ubunge wa EALA wakijinadi mbele ya Wabunge na ninachokiona hasa ni Kushindana tu kwa Uhodari wa Kuzungumza Kiingereza kwa Mikogo (Madoido) mengi lakini Mipango, Dira na Mikakati ya Kimantiki ya Kutekelezeka siioni Vichwani (Mibichwani) mwao.
Tunakwenda Kuaibika tu huko EALA!
GENTAMYCINE nawatizama hawa Wateuliwa wa CCM ambao wanataka Kugombea Ubunge wa EALA wakijinadi mbele ya Wabunge na ninachokiona hasa ni Kushindana tu kwa Uhodari wa Kuzungumza Kiingereza kwa Mikogo (Madoido) mengi lakini Mipango, Dira na Mikakati ya Kimantiki ya Kutekelezeka siioni Vichwani (Mibichwani) mwao.
Tunakwenda Kuaibika tu huko EALA!