Ninachofahamu kuhusu BAKWATA

Status
Not open for further replies.
amebanwa na mfumo kristo!
 
Well, Nyerere alianzisha BAKWATA ambayo baadhi yenu hamridhiki nayo. Mwl.Nyerere ameshafariki kwa nini msianzishe hicho mnachokitaka badala ya kulalamika?! Mbona rahisi sana kuanzisha hizi jumuiya kama ile ya shekhe Ponda.
 
BAKWATA ni chombo cha waislamu wote Tanzania wasioipenda ni maadui wa uislam.
 
sweet poison
Bakwata iliundwa na mwalimu Nyerere baada ya kuivunja EAMWS ambayo kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni taasisi iliyokuwa imepiga hatua kubwa ktk uchumi,siasa na elimu Afr.mashariki.
===>Sina ushahidi na hili,labda kuna mali zozote ambazo mnzikumbuka kuwa zilikuwa za EAMWS zirudishwe kutoka srikalini?
===>Kuna jamaa yangu aliniambia kuwa huwezi kuanzisha kitu chochote kinachohusiana na dini ya kiisalmu mpaka Uwaone Bakwata na wakubali,sina uhakika sana na hili,lakini halikaa sawa
===>Nimesikia pia Kadhi mkuu tayari alishachaguliwa na BAKWATA (MUFTI) sijajua nani ana mamlaka ya kumteua nani kati ya watu hawa wawili (MUFTI na KADHI)
===>Serikali iyaangalie haya mambo,mzaha mzaha hutumbuka usaha.
 
BAKWATA ni chombo cha waislamu wote Tanzania wasioipenda ni maadui wa uislam.
tunaopata shida ndo tunajua!we huna lolote unalolijua juu ya bakwata bora ukae kimya usije ukakufuru,pia usizungumzie kitu ambacho huna elimu nacho,bakwata ni kama mtihani ambao allah ametupa ili atujue yupi muislamu wa kweli na yupi asije wa kweli,tahadhari usije ukawa kafir(kama bado)kama tayari kafir ni juu yako,hakuna kulazimishana katika dini.
 
Bwakwata mshauri wao wa mambo ya proper gation ni pengo,halafu useme ipo kwa ajili ya waisilam, sahau
 

Hivi hii bakwata inamkandamiza muislam kivipi wakati waislam wengi wameamua kutoifuata bakwata na wanaendesha mambo yao kivyao? .Tatizo wengi wanaoipinga bakwata wanataka kufanya mambo kienyeji bila mpangilio maalum yani hawataki "centralization system" . Naomba mfafanue namna bakwata inavyokandamiza waislam
 
Nasubiri kuona hii thread itafungiwa saa ngapi, maana ikianzishwa mjadala unaohusu waislamu basi vidudu mtu lazma wachafue hewa ili waislamu wasipate wasaa wa kujadili yanayowahusu,,

Hivi wewe unaona hapa ndio mahala sahihi pa kujadili mambo ya waislam? mwenyekiti wa mjadala ni nani na katibu anaeandika hoja za wajumbe ni nani?. Ofisi za bakwata zipo wazi na viongozi wapo kwa nini msiende kuongea nao kama kweli mna hoja za msingi kuhusu mwenendo wa bakwata?
 
Sasa kama tunaikataa BAKWATA kwasababu imeanzishwa na serekali mbona tunashinikiza serekali ituundie mahakama ya kadhi ?.


maskini wa akili.

 
Nasikia na watemi kama kina Ntemi Chenge nao wanasema kuwa huyu mzee aliwafutilia mbali ili kulinda "mfumo kristu" afu eti Waitaliano wa hapa Tanganyika nao wanalia kuwa aliwanyang'anya shule zao ili wapagani na wale wa dini ya
"MNYAZIMUNGU" wapate nafasi ya kufuta maujinga yao! Leo kila mtu anamlaani huyu mzee lakini ndo yeye kawasaidia wengi mkajua hata kutumia kompyuta mpakato! Nyambaf kabisaaaa./
 
Nasubiri kuona hii thread itafungiwa saa ngapi, maana ikianzishwa mjadala unaohusu waislamu basi vidudu mtu lazma wachafue hewa ili waislamu wasipate wasaa wa kujadili yanayowahusu,,
ushawatoa nishai,.....wanaona aibu
Labda mpaka jioni
 

shusha hoja za msingi nani kaianzisha Bakwata? na nitajie malengo ya kuanzishwa kwake.issue hapa si kunilazimisha kuwa nitaka au sitaki.
 
Hawa wanaolia kuwa serikali iliwaundia Bakwata ndio hao hao leo wanaolilia serikali iwaundie mahakama ya kadhi
Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana,
 
Mkuu,Ushahidi upo tena mweupee. tuombe mungu, nipo kwenye kufanya upekuzi wa vitabu mbali mbali ili nikupe uupitie kwa faida yako na wengine.
ukithibisha vizuri mkuu hapo ndipo watu watamkubali sheikh ponda
 

cna comment, maana hata dini yangu ni tofauti ..............
 
Hawa wanaolia kuwa serikali iliwaundia Bakwata ndio hao hao leo wanaolilia serikali iwaundie mahakama ya kadhi
Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana,

mkuu elewa mada,Labda nirudie mada,"BAKWATA NI YA NANI?,YA WAISLAM,SERIKALI AU???????.Toa hoja juu ya mada hii,ya kadhi tutaiwasilisha cku nyingine.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…