acha uamuzi wa jazba,,,,,,hizo ni taratibu za kawaida za malipo,,,ukianguka jitahidi kuamka tena na tena na tena,,utafanikiwa,,,jitahidi pia kuwa mjasiria mali pamoja na kazi yako maana mimi mwenyewe naitamani sana kazi yako maana inakupa muda wa kufanya ishu zake mtaani,,,kazi ninayoifanya ndugu inabana huna hata muda wako wa kupumzika,,,pia upambanaji....