Nina wazo la kuanzisha NGO

Jackson996

JF-Expert Member
Oct 5, 2019
658
1,257
Heri ya siku ya Christimas na Mwaka mpya wana JF natumai ni wazima na tunaendele kusheherekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka

Nirudi kwenye mada

Mimi ni kujana nina Miaka 25 kwa mda kama wa miaka 2 nyuma nilikuwa na wazo la kuanzisha NGO inayo jiusisha na mambo ya Afya nita base kwenye ugonjwa mmoja (Ningependa kutokuuweka wazi uwo ugonjwa nitakao deal nao wakuu maana nishawahi leta wazo la jambo umu na baada ya mda nikakuta utu kalichukua vilevile) pia mimi ni muhanga wa uwo ugonjwa na nimepambana nao kwa miaka yote 25 ila haukua kikwazo kwa kufanikisha malengo yangu na vitu ninavyo fanya

Aina ya NGO ninayotaka kuanzisha nimejaribu kufwatilia naona kwa Tanzania zipo kama tatu ambazo zilikuwa strong ila kwa sasa kama zimeyumba kidogo

Nia yangu ya kuanzisha hii NGO ni kwwsababu nataka kutoa elimu juu ya huu ugonjwa ambao auwekew mkazo katika jamii lalini upo na unatesa na ni kwasababu n ugonjwa usio tibika basi wahanga wajue namna ya kuishi nao

Nilikuwa naomba ndugu zangu wajuzi wa mambo ya NGO mnipe Elimu jinsi ya kuendesha aya Mashirika na changamoto zake

Sina kiasi kikubwa cha pesa kuanzisha lakin nina watu ambao wameamua kunisaport kwa njia ndogo ambazo nitashindwa kifedha kwasababu wanaamin kwenye ninacho kifanya

Sasaivi nimemaliza kuandika KATIBA nataka kuisajiri , Mategemeo yangu n mpaka mwakan niwe na NGO yan ishaanza kufanya kazi ndogo ndogo

Wana JF wenzangu nilikuwa naomba mwenye ushauri, maoni, mtazamo namna ya kuendesha NGO naamin kwenye kujifunza sana na kila siku ili uweze kufanya kitu bora zaidi

ASANTENI
 
Ni kwel kabisa mkuu Chronic desease ziko nyingi sana
Congenital hypothyroidism anaemic folic deficiency
Heri ya siku ya Christimas na Mwaka mpya wana JF natumai ni wazima na tunaendele kusheherekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka

Nirudi kwenye mada

Mimi ni kujana nina Miaka 25 kwa mda kama wa miaka 2 nyuma nilikuwa na wazo la kuanzisha NGO inayo jiusisha na mambo ya Afya nita base kwenye ugonjwa mmoja (Ningependa kutokuuweka wazi uwo ugonjwa nitakao deal nao wakuu maana nishawahi leta wazo la jambo umu na baada ya mda nikakuta utu kalichukua vilevile) pia mimi ni muhanga wa uwo ugonjwa na nimepambana nao kwa miaka yote 25 ila haukua kikwazo kwa kufanikisha malengo yangu na vitu ninavyo fanya

Aina ya NGO ninayotaka kuanzisha nimejaribu kufwatilia naona kwa Tanzania zipo kama tatu ambazo zilikuwa strong ila kwa sasa kama zimeyumba kidogo

Nia yangu ya kuanzisha hii NGO ni kwwsababu nataka kutoa elimu juu ya huu ugonjwa ambao auwekew mkazo katika jamii lalini upo na unatesa na ni kwasababu n ugonjwa usio tibika basi wahanga wajue namna ya kuishi nao

Nilikuwa naomba ndugu zangu wajuzi wa mambo ya NGO mnipe Elimu jinsi ya kuendesha aya Mashirika na changamoto zake

Sina kiasi kikubwa cha pesa kuanzisha lakin nina watu ambao wameamua kunisaport kwa njia ndogo ambazo nitashindwa kifedha kwasababu wanaamin kwenye ninacho kifanya

Sasaivi nimemaliza kuandika KATIBA nataka kuisajiri , Mategemeo yangu n mpaka mwakan niwe na NGO yan ishaanza kufanya kazi ndogo ndogo

Wana JF wenzangu nilikuwa naomba mwenye ushauri, maoni, mtazamo namna ya kuendesha NGO naamin kwenye kujifunza sana na kila siku ili uweze kufanya kitu bora zaidi

ASANTENI
Peleka katiba kwa afisia maendeleo wa kata ambapo utafungua ofisi, kisha ataikagua hiyo katiba, kama inamalekebisho atakwambia kisha ikiwa fresh, atakupa formu flani utajaza, utaambatanisha na muhtathali, baria ya kuomba usajili, na document zingine nimesahau ila yeye ndo atakuelekeza.
Ukitoka ngazi ya kata,utapeleke document ngazi ya jiji napo watakagua, ukimaliza utaenda ngazi ya wizara husika, utajaza online registration ya NGO , baada ya wiki mbili utapewa taarifa cheti chako tayari unaenda DODOMA wizarani kukichukua,
Kisha utarudi kupambana sasa kutimiza zile objectives zako na kila mwisho wa mwaka utatakiwa kupeleka report wizarani kuwa umearchive objective ipi, usipo peleka kwa miaka kadhaa inafutwa.
 
Congenital hypothyroidism anaemic folic deficiency

Peleka katiba kwa afisia maendeleo wa kata ambapo utafungua ofisi, kisha ataikagua hiyo katiba, kama inamalekebisho atakwambia kisha ikiwa fresh, atakupa formu flani utajaza, utaambatanisha na muhtathali, baria ya kuomba usajili, na document zingine nimesahau ila yeye ndo atakuelekeza.
Ukitoka ngazi ya kata,utapeleke document ngazi ya jiji napo watakagua, ukimaliza utaenda ngazi ya wizara husika, utajaza online registration ya NGO , baada ya wiki mbili utapewa taarifa cheti chako tayari unaenda DODOMA wizarani kukichukua,
Kisha utarudi kupambana sasa kutimiza zile objectives zako na kila mwisho wa mwaka utatakiwa kupeleka report wizarani kuwa umearchive objective ipi, usipo peleka kwa miaka kadhaa inafutwa.

Shukran sana mkuu ..nitakuwa naweka mrejesho umu kwa kila hatua ninayo enda
 
Heri ya siku ya Christimas na Mwaka mpya wana JF natumai ni wazima na tunaendele kusheherekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka

Nirudi kwenye mada

Mimi ni kujana nina Miaka 25 kwa mda kama wa miaka 2 nyuma nilikuwa na wazo la kuanzisha NGO inayo jiusisha na mambo ya Afya nita base kwenye ugonjwa mmoja (Ningependa kutokuuweka wazi uwo ugonjwa nitakao deal nao wakuu maana nishawahi leta wazo la jambo umu na baada ya mda nikakuta utu kalichukua vilevile) pia mimi ni muhanga wa uwo ugonjwa na nimepambana nao kwa miaka yote 25 ila haukua kikwazo kwa kufanikisha malengo yangu na vitu ninavyo fanya

Aina ya NGO ninayotaka kuanzisha nimejaribu kufwatilia naona kwa Tanzania zipo kama tatu ambazo zilikuwa strong ila kwa sasa kama zimeyumba kidogo

Nia yangu ya kuanzisha hii NGO ni kwwsababu nataka kutoa elimu juu ya huu ugonjwa ambao auwekew mkazo katika jamii lalini upo na unatesa na ni kwasababu n ugonjwa usio tibika basi wahanga wajue namna ya kuishi nao

Nilikuwa naomba ndugu zangu wajuzi wa mambo ya NGO mnipe Elimu jinsi ya kuendesha aya Mashirika na changamoto zake

Sina kiasi kikubwa cha pesa kuanzisha lakin nina watu ambao wameamua kunisaport kwa njia ndogo ambazo nitashindwa kifedha kwasababu wanaamin kwenye ninacho kifanya

Sasaivi nimemaliza kuandika KATIBA nataka kuisajiri , Mategemeo yangu n mpaka mwakan niwe na NGO yan ishaanza kufanya kazi ndogo ndogo

Wana JF wenzangu nilikuwa naomba mwenye ushauri, maoni, mtazamo namna ya kuendesha NGO naamin kwenye kujifunza sana na kila siku ili uweze kufanya kitu bora zaidi

ASANTENI
Karibu kwenye tasnia. Una safari na kibarua kikubwa cha kupata sponsa wa miradi yako. Hili sio tatizo, ila ningependa kuona unaitendea haki tasnia hii. Ma-ngos mengi yanaendeshwa na udugu yanaharibu mnoo kazi zetu. Nmeskia Kuna msanii mmoja NGO yake usaili ulikuwa unafanywa na form four! Mwenye Division 4. Siku nlokutana nae nkaona mweupe kabisaaaaaaaaa. Anadili na matatizo ya Jamii. NGO inadili na ugonjwa kama tatizo la kijamii. Ajir wat wanaoweza kusema jamii ni kitu gan na inakuajekuaje ugonjwa huo unazidi kukua au kuwaganda. Tenda haki. Yangu ni hayo
 
Karibu kwenye tasnia. Una safari na kibarua kikubwa cha kupata sponsa wa miradi yako. Hili sio tatizo, ila ningependa kuona unaitendea haki tasnia hii. Ma-ngos mengi yanaendeshwa na udugu yanaharibu mnoo kazi zetu. Nmeskia Kuna msanii mmoja NGO yake usaili ulikuwa unafanywa na form four! Mwenye Division 4. Siku nlokutana nae nkaona mweupe kabisaaaaaaaaa. Anadili na matatizo ya Jamii. NGO inadili na ugonjwa kama tatizo la kijamii. Ajir wat wanaoweza kusema jamii ni kitu gan na inakuajekuaje ugonjwa huo unazidi kukua au kuwaganda. Tenda haki. Yangu ni hayo

Shukran sana mkuu …nataman nijue mengi kutoka kwako nahisi una vingi vya mimi kujifunza kutoka kwako
 
hongera sana mbeba maono, ukifanikiwa kusajili jitahidi upate best team ya kufanikisha maono yako. NGOs nyingi ni wapigaji na hasa hizi za national level. Donors wapo wakiona unachokufanya kinaleta matokeo chanya kwenye jamii.
 
Shukran sana mkuu …nataman nijue mengi kutoka kwako nahisi una vingi vya mimi kujifunza kutoka kwako
Unadil na endemic? Pandemic au epidemic?.
Andika katiba kwanza. Ila muhtasari uwe na makubaliano yaliyofikiwa katika kikao cha watu zaidi ya 2.
 
hongera sana mbeba maono, ukifanikiwa kusajili jitahidi upate best team ya kufanikisha maono yako. NGOs nyingi ni wapigaji na hasa hizi za national level. Donors wapo wakiona unachokufanya kinaleta matokeo chanya kwenye jamii.

Shukran sana mkuu
 
Unadil na endemic? Pandemic au epidemic?.
Andika katiba kwanza. Ila muhtasari uwe na makubaliano yaliyofikiwa katika kikao cha watu zaidi ya 2.

Nadil na endemic disease mkuu
Tulishaandika katiba na saiv nipo napambana kuisajil mkuu nazan Mwez wa kwanza mwishon nitakuwa nishakamilisha usajil
 
Back
Top Bottom