Nina wasiwasi na NACTE

Nina wasiwasi na NACTE

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,614
Hivi wafanyakazi wa Nacte wanafanya kazi kwa utaratibu waliojiwekea au kuna chombo kingine juu yao?

Watoto / wanafunzi wanafanya application, hawapati majibu na hakuna pa kuuliza ni kwa nini sijapata majibu.

Wanafunzi waliosajiriwa wanakosa namba za mtihani na pengine kuzipata ni kwa kuangaishana sana.

Hivi wanafanya kazi kwa msingi ipi? Ni watanzania wangapi wamelipa hela mtandaoni pasipo kuchaguliwa na pasipo kujibiwa?

Kama wewe ni mmoja wa waathirika wa tatizo hili, jitokeze tujadili kwa kina. Labda tukiwasema hapa watajirekebisha.
 
Hakuna aliye kosa majibu bwana leta evidence tuone
 
duh unajibu kama unafanya kaz NACTE
Majibu wanatoa kupitia profile ya muombaji na ukikosa wanakuambia sababu za kukosa na kukushauri uombe tena Sema tatizo walilonalo NACTE ni kutopokea cm zao utapiga mpaka uchoke hawapokei
 
mleta mada ni boya kichz......yawezekana ndo wale wanaopitia njia za panya ambao hawana sifa wanafukuzwa vyuoni baada ya nacte kuanza kuhakiki.....analeta mada ya ovyoooo kabisa
 
Ni kweli kuna baadhi ya watu yani wa diploma kwenye profile zao hawajaambiwa chochote profile iko vilevile kama alomaliza kuapply sa hiv... hvy inamanisha hawajatoa majib mpaka sasa
 
Nacte ndo kawaida yao hio huwa wanachelewa so kuwa mtulivu na usubirie hata mwaka uliopita ilikuwa hivyohivyo we we sio wa kwanza
 
You have made 5 Choice(s) out of 5 Now Wait for Selection NA OK
Vp wakuu niendelee kusubiri au
 
Hivi wafanyakazi wa Nacte wanafanya kazi kwa utaratibu waliojiwekea au kuna chombo kingine juu yao?

Watoto / wanafunzi wanafanya application, hawapati majibu na hakuna pa kuuliza ni kwa nini sijapata majibu.

Wanafunzi waliosajiriwa wanakosa namba za mtihani na pengine kuzipata ni kwa kuangaishana sana.

Hivi wanafanya kazi kwa msingi ipi? Ni watanzania wangapi wamelipa hela mtandaoni pasipo kuchaguliwa na pasipo kujibiwa?

Kama wewe ni mmoja wa waathirika wa tatizo hili, jitokeze tujadili kwa kina. Labda tukiwasema hapa watajirekebisha.
Upon sawa bro yani wametoa second round without kutoa selection sasa wanafikiria nn
 
mleta mada ni boya kichz......yawezekana ndo wale wanaopitia njia za panya ambao hawana sifa wanafukuzwa vyuoni baada ya nacte kuanza kuhakiki.....analeta mada ya ovyoooo kabisa
Punguza dharau we kiumbe na maneno yasiyo na uungwana kwa wenzio. Wewe nahc ndo wale walioitwa vila........... kwakuwa kama unaelimu basi haijakukomboa na hujui maana ya kuelimika.
 
Ni kweli kuna baadhi ya watu yani wa diploma kwenye profile zao hawajaambiwa chochote profile iko vilevile kama alomaliza kuapply sa hiv... hvy inamanisha hawajatoa majib mpaka sasa
kweli kbs nimeaply dip ya Elimu hakuna jibu profile iko vile vile
 
Punguza dharau we kiumbe na maneno yasiyo na uungwana kwa wenzio. Wewe nahc ndo wale walioitwa vila........... kwakuwa kama unaelimu basi haijakukomboa na hujui maana ya kuelimika.
msamehe bure
 
You have made 5 Choice(s) out of 5 Now Wait for Selection NA OK
Vp wakuu niendelee kusubiri au
NAFIKIRI NACTE WAMESHINDWA KUFANYA KAZI YA UDAHILI WA WANAFUNZI,KWASABABU NILIOMBA TOKA MWEZI MACHI MPAKA SASA HAKUNA JAMBO LOLOTE LILILOFANYIKA WANA KERA SANA KWAKWELI.
 
Mbona majibu ya ualimu wa vyuo vya serikali yameshatoka. Check your profile
 
Back
Top Bottom