msemakweli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,627
- 880
Mimi ni mmoja wa supporters wake ila naomba kama atasoma hii thread basi aliangalie hili.
Kwenye twitter aliahidi kuiingiza Tz kwenye EAC kikamilifu, na anadisitiza tusitake things slowly kama ilivyo desturi ya Tz.
Wakenya wamempongeza sana juu ya hilo. juzi kati pia alienda Kenya na kupokelewa vizuri.
My take ni kuwa Tz huwa haiungi mkono mambo ambayo hayana faida kwake ovyoovyo kama ile single tourism visa.
Namwomba January atuhakikishie watanzania kuwa maslahi ya taifa letu yatakuwa salama endapo atatwaa madaraka mwakani.
Kwenye twitter aliahidi kuiingiza Tz kwenye EAC kikamilifu, na anadisitiza tusitake things slowly kama ilivyo desturi ya Tz.
Wakenya wamempongeza sana juu ya hilo. juzi kati pia alienda Kenya na kupokelewa vizuri.
My take ni kuwa Tz huwa haiungi mkono mambo ambayo hayana faida kwake ovyoovyo kama ile single tourism visa.
Namwomba January atuhakikishie watanzania kuwa maslahi ya taifa letu yatakuwa salama endapo atatwaa madaraka mwakani.