mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,045
- 1,503
Hivi wanajamvi, mbona wakati mwingine hamueleweki!
Hivi ni mgombea gani asiyekuwa na udhaifu? Tangu baadhi ya viongozi na wasio viongozi watangaze nia ya kuwania nafasi mbalimbali humu mnakuja na mijadala inayokatisha tamaa. Sijaona hata siku moja kati yao mnamsifia kwa weledi na uwezo. Wote ni wabaya mbele zetu, Hivi tunahitaji aina gani ya kiongozi mwenye tabia, uwezo tofauti na waliojitokeza?
Mimi namchukulia J Makamba kama kijana mtanashati, mwenye uwezo kiakili, mbunifu na mwenye kuijua dunia ya leo inayoendelea kwa kasi sana. Sasa masuala mengine yanatafsiriwa kama chuki binafsi dhidi yake na kama yupo mnyoofu kwa asilimia 100 basi mleteni humu jamvini tumjadili.
VIVA MAKAMBA VIVA KIJANA! Keep it up!
Hivi ni mgombea gani asiyekuwa na udhaifu? Tangu baadhi ya viongozi na wasio viongozi watangaze nia ya kuwania nafasi mbalimbali humu mnakuja na mijadala inayokatisha tamaa. Sijaona hata siku moja kati yao mnamsifia kwa weledi na uwezo. Wote ni wabaya mbele zetu, Hivi tunahitaji aina gani ya kiongozi mwenye tabia, uwezo tofauti na waliojitokeza?
Mimi namchukulia J Makamba kama kijana mtanashati, mwenye uwezo kiakili, mbunifu na mwenye kuijua dunia ya leo inayoendelea kwa kasi sana. Sasa masuala mengine yanatafsiriwa kama chuki binafsi dhidi yake na kama yupo mnyoofu kwa asilimia 100 basi mleteni humu jamvini tumjadili.
VIVA MAKAMBA VIVA KIJANA! Keep it up!