nami nilimuona from a to z. walibanwa na swali la mshumbusi wa mtwara - lilijibiwa jujuu. kitu kingine ni kua segment ya watumia simu za china ambazo ni nyingi hapa nchini wataikosa kufuatana na maelezo yao - hivyo kibiashara wenye stationeries na cafe hasa mikoani si busara kukimbilia u agent wa biashara hii. pia nafikiri kuna msemo wa for every action there is a reaction. kadhalika polisi yetu imekuwa na technolojia hii kitambo - nakumbuka mtu alifanya uhalifu mbeya akabadili sim lakini alishikwa tanga kilaini wakiwasiliana nae muda wote kwa simu yake ikiwa na simcard tofauti tofauti.
nawasifu wamejipanga - website yao quite modest
Umeniacha njia panda, unawa-rcommend au, maana unasema, hawakujibu maswali vizuri as if ni wababaishaji, polisi wanayo muda mrefu halafu unasema wamejipanga vizuri! Which is which!
Zile dawa za meno nilitumia mara moja tu na siku wahi kung'oa tena jino ingawa lipo lilitoboka lakini sina maumivu.Sijui kama ni ile dawa yake ama imetokea tu maana nilishatoa meno mawili kabla sijatumia.
TV ya taifa ni sehemu ya tunu za taifa. TV ya taifa inapata ruzuku toka serikalini hivyo basi inatakiwa kuonyesha mambo ambayo yana faida kwa taifa zima na siyo kutuonyesha harusi. Wameshindwa hata kuhamasisha usafi wa miji yetu ama hata kilimo wao wapo busy na ekotike! Niliona nikadhani ni chereko lakini lahaula nikaona ni live na inaendelea nikaamua kuangalia New castle v Villa na sasa namsikiliza kichaa wangu Buberwa na mambo yake. Haya mambo ya harusi wawaachie Channel 5.
Kwa kweli ni muda sasa ninawasiwasi na akili na utendaji wa tbc1 hivi kweli tv ya taifa haina vipindi mpaka wanaamua kuonyesha harusi live hii kwa kweli haikubaliki hili nalo ni jipu linahitaji kutumbuliwa mapema sana
Hao jamaa walichobakisha ni kurusha live kipindi cha wanandoa wakifanya tendo la ndoa...........
Kiukweli hili la televisheni ya taifa kurusha vipindi havina mantiki wala maana kwa walipa kodi linatia kichefu chefu kama sio kinyaa kabisa.......serikali kupitia wizara husika hawana budi kulishughulikia hili na kuwakumbusha majukumu yao kwa walipa kodi.......
Unaanzaje kurusha live harusi kupitia televisioni ya taifa ilhali kuna masuala kibao watanzania wanahitaji kuelimishwa kupitia hiyo hiyo TBC......
HERI HATA WANGEWEKA KIPINDI CHA KILIMO NA MAFANIKIO YAKE ILI KUWAVUTIA VIJANA WENGI WAACHE KUZURULA HUKU MIJINI.........
WANGEONYESHA HATA VIVUTIO VYA UTALII ILI KUWAVUTIA WATALII WA NDANI......YAANI KWA KIFUPI KUNA MENGI YA MAANA KWA MLIPA ANATAKIWA KUONYESHWA KULIKO HUO UPUUZI WA HILO LIHARUSI.......
NYAMBAF......
Wadau, kwanza naomba ku declare interest, kuwa sikubahatika kuiona hiyo live ya harusi binafsi ya mtu!. Pili mimi ni mdau wa broadcast jounalism, na niliwahi kufanya kazi TBC enzi zile ikiitwa TVT, ila hapa sichangii kama an authority by as an experience broadcast jounalist!.
Zile dawa za meno nilitumia mara moja tu na siku wahi kung'oa tena jino ingawa lipo lilitoboka lakini sina maumivu.Sijui kama ni ile dawa yake ama imetokea tu maana nilishatoa meno mawili kabla sijatumia.
Nitaipata wapi na shilingi ngapi, nasumbuliwa na meno mkuu