Flashfifty
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 226
- 563
Habari wadau, naombeni msaada wenu na ushauri,
Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara na limeanza muda mrefu kidogo huu ni mwaka wa nne unaenda tafadhali naombeni msaada wenu maana hata hospital napatiwa antiacids lakini hazinisaidia.
Asanteni.
Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara na limeanza muda mrefu kidogo huu ni mwaka wa nne unaenda tafadhali naombeni msaada wenu maana hata hospital napatiwa antiacids lakini hazinisaidia.
Asanteni.