Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Poleni na majukumu wadau. Mi huwa napenda baadhi ya vipind vya RFA lakini nina siku nne siipati. Je wamefungiwa tena? Wenye taarifa tafadhali.
wanasoma magszeti vizuri sanaAaah wasiifungie aisee..naitegemea asubuhi kwenye kipindi cha magazeti
Hawa jamaa wana vipindi viwili tu vizuri kwangu.NI KUTOKA MAGAZETINI NA BBC SWAHILI.Ukija kwenye vipindi vyote vya mahojiano ni vituko sijui kawaokota wapi wale watangazaji au anawalipa mshahara gizani nini.vichwa zeroPoleni na majukumu wadau. Mi huwa napenda baadhi ya vipind vya RFA lakini nina siku nne siipati. Je wamefungiwa tena? Wenye taarifa tafadhali.
siku hizi kuna redio mpaka za mitaani.Kule Dodoma imebanwa pumzi na utitiri wa FM zilizopo hapa mjini. Haisikiki kabisa.
Na hizo redio ni michapo na kiswahili cha mtaani kabisa.siku hizi kuna redio mpaka za mitaani.