Ninahitaji mkopo wa milioni tatu 3.5 ili kuendeleza biashara yangu
Dhamana ya nyumba ipo
Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri..... Lakini pia haijafika miezi sita..
Tatizo jingine dhamana iko mkoani Kagera na mimi nipo Mwanza.....hizi microfinace nyingi hazitii mkopo wenye dhamana ya mbali..
Kama kuna aliye tayari kunikopesha naomba anicheck PM
Dhamana ya nyumba ipo
Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri..... Lakini pia haijafika miezi sita..
Tatizo jingine dhamana iko mkoani Kagera na mimi nipo Mwanza.....hizi microfinace nyingi hazitii mkopo wenye dhamana ya mbali..
Kama kuna aliye tayari kunikopesha naomba anicheck PM