The Eric JF-Expert Member Feb 23, 2019 5,222 8,526 Sep 16, 2023 #1 Salaam Wakuu Nauza Kiwanja shilingi milioni 7.5 fixed Arusha mjini. Mahali Kilipo ni Engosheratoni Kata ya Sinoni Arusha. Ukubwa wa Kiwanja ni 550sqm. Haki miliki ya kiwanja kinatambulika na serikali ya mtaa, hii ni kwa maeneo yote ya engosheratoni. Ukaribu wa Kiwanja kipo karibu na shule ya sekondari Edmund Rice Arusha. 6km mpaka kufika arusha city center clock on tower. Kimeshuka bei, ...π₯π₯π₯π₯π₯ Picha za kiwanja hizi hapa wakuu, karibuni sana.
Salaam Wakuu Nauza Kiwanja shilingi milioni 7.5 fixed Arusha mjini. Mahali Kilipo ni Engosheratoni Kata ya Sinoni Arusha. Ukubwa wa Kiwanja ni 550sqm. Haki miliki ya kiwanja kinatambulika na serikali ya mtaa, hii ni kwa maeneo yote ya engosheratoni. Ukaribu wa Kiwanja kipo karibu na shule ya sekondari Edmund Rice Arusha. 6km mpaka kufika arusha city center clock on tower. Kimeshuka bei, ...π₯π₯π₯π₯π₯ Picha za kiwanja hizi hapa wakuu, karibuni sana.
Mtumishi wa Bwana89 JF-Expert Member Jul 23, 2018 2,293 2,547 Sep 16, 2023 #2 Hiki kiwanja mbona kinauzwa na watu wawili
Vesper-valens JF-Expert Member Mar 6, 2020 5,339 7,490 Sep 16, 2023 #3 Kiwanja ni surveyed? Ramani ya mipango mji ya hilo eneo unayo? Why mpaka sasa hakina hati miliki kutoka wizarani?
Kiwanja ni surveyed? Ramani ya mipango mji ya hilo eneo unayo? Why mpaka sasa hakina hati miliki kutoka wizarani?
The Eric JF-Expert Member Feb 23, 2019 5,222 8,526 Sep 16, 2023 Thread starter #4 Mtumishi wa Bwana89 said: Hiki kiwanja mbona kinauzwa na watu wawili Click to expand... Hakuna shida mkuu wote tunapromote kiuzike wala isikupe shida, mmiliki ni mmoja karibu sana.
Mtumishi wa Bwana89 said: Hiki kiwanja mbona kinauzwa na watu wawili Click to expand... Hakuna shida mkuu wote tunapromote kiuzike wala isikupe shida, mmiliki ni mmoja karibu sana.
The Eric JF-Expert Member Feb 23, 2019 5,222 8,526 Sep 16, 2023 Thread starter #5 Vesper-valens said: Kiwanja ni surveyed? Ramani ya mipango mji ya hilo eneo unayo? Why mpaka sasa hakina hati miliki kutoka wizarani? Click to expand... Mkuu kiwanja sio surveyed na vile vile ramani ipo wizara ya ardhi utaipata siwezi kuwa nayo kwani maeneo mengi huku ni squater, wananchi hawana interest sana ila kuuziana kisheria ni muhimu kuliko vitu vyote.
Vesper-valens said: Kiwanja ni surveyed? Ramani ya mipango mji ya hilo eneo unayo? Why mpaka sasa hakina hati miliki kutoka wizarani? Click to expand... Mkuu kiwanja sio surveyed na vile vile ramani ipo wizara ya ardhi utaipata siwezi kuwa nayo kwani maeneo mengi huku ni squater, wananchi hawana interest sana ila kuuziana kisheria ni muhimu kuliko vitu vyote.
The Eric JF-Expert Member Feb 23, 2019 5,222 8,526 Sep 18, 2023 Thread starter #6 Karibuni bado kipo.
The Eric JF-Expert Member Feb 23, 2019 5,222 8,526 Sep 18, 2023 Thread starter #7 stow away said: Mpe hio 7.5M acha maneno mengi wenye Pesa hawaongei sana, ukijijua wewe kwenye za biashara unapiga sana domo jua hauna Pesa waachie wenye Pesa wanunue Click to expand... Kinatoka siyo muda kuna mtu kafika sita
stow away said: Mpe hio 7.5M acha maneno mengi wenye Pesa hawaongei sana, ukijijua wewe kwenye za biashara unapiga sana domo jua hauna Pesa waachie wenye Pesa wanunue Click to expand... Kinatoka siyo muda kuna mtu kafika sita