Thanks Deodat,
ukifuatilia sana utagundua ni rahis sana kukutana na ma-kazin,
Leo NN alikaribisha supu, na kila siku kuna mialiko inaendelea... Baba G leo anaandaa gathering ya Kumpongeza GS just stay posted na utapata PM
One "AGAPE" love
Kutokana na michango yao hapa JF, nimejikuta nikiwapenda sana (ni agape love wandugu sio vingine) members wafuatao na nitafurahi sana siku nikifanikiwa kuwaona uso kwa uso:
1. Asprin
2. FirstLady
3. PakaJimmy
4. Mwanakijiji
5. Pasco
6. Acid
7. Nyaningabu
8. Nyamayao
9. Fidel
10. Roya
11. Rose80
12. The Finest
13. Rutashubanyuma
14. Gender sensitive (Regia)
15. Mwanajamii one
16. Gaijin
Inshallah Mungu akipenda!
Hapo kwenye bluu lazima upate idhini yangu tafadhali........!!!
Mkuu nilikua safari ndio nimerudi, wiki hii yote nipo bongo sana tuCousin hivi nini kimekupata hivi vikao vyetu mbona hauudhurii, washauri kama nyie kwenye chama ni muhimu sana vinginevyo chama kitapoteza mwelekeo
Naona unataka fita ni fita na Mr. wake ambaye ni homeboy wangu na raisi wa maisha wa ISC.
Uzuri yeye sio kabaila...
Hapo kwenye bluu lazima upate idhini yangu tafadhali........!!!
Deodat
tuko pamoja ......Mungu akipenda
Mwalimu upo?
Kuwa kabaila mbona jambo zuri tu!Uzuri yeye sio kabaila...
Kuwa kabaila mbona jambo zuri tu!
kutokana na michango yao hapa jf, nimejikuta nikiwapenda sana (ni agape love wandugu sio vingine) members wafuatao na nitafurahi sana siku nikifanikiwa kuwaona uso kwa uso:
1. Asprin
2. Firstlady
3. Pakajimmy
4. Mwanakijiji
5. Pasco
6. Acid
7. Nyaningabu
8. Nyamayao
9. Fidel
10. Roya
11. Rose80
12. The finest
13. Rutashubanyuma
14. Gender sensitive (regia)
15. Mwanajamii one
16. Gaijin
inshallah mungu akipenda!