Nina pesa nataka kubadilishana na gari

Nina pesa nataka kubadilishana na gari

TEAM VIBAJAJI

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
1,858
Reaction score
2,302
Wakuu nisiwachoshe ninapesa nahitaji gari bajeti kuanzia 10m na isizidi 15m kulingana na gari itakayopatikana mwenye nayo aje pm
 
Bei gani hiyo shuka below 2 digit vinginevyo. --- --,``
 
Jamani niliyoipata inaonekana jamaa wanataka kuniingiza king tumekubaliana kesho nikalipie lakini jamaa anataka nimtangulizie 2m kabla ya kwenda nimemuona msanii hivyo utafutaji unaendelea
 
Back
Top Bottom