Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 909
- 1,076
Habari za jioni wadau.
Nilipokuwa chekechea mwaka 1994 pale KKKT Korogwe kwa aunt yangu alikuja raisi wa awamu ya pili marehemu Ali Hasan Mwinyi katika uwanja wa TTC chuo cha ualimu Korogwe.
Nikamuomba Aunt aniruhusu niende nikamuone raisi lakini aunt alikataa akihofia umati mkubwa uliokuwepo nililia kukosa kumuona mh raisi.
Wadau narudi kwenu ni ndoto yangu tangu utoto kuonana na viongozi wakuu wa nchi naombeni mnipe mawazo jinsi ya kuonana na Mh.JKM au Mh.SAMIA ili nitimize ndoto yangu ndugu zangu.
Lengo la kutaka kuonana nao ni jema kuufurahisha moyo wangu kwa kutimiza ndoto hii.Yoyote mwenye uwezo wa kunifanikishia hili nitamshukuru sana nina bajeti ya laki tatu za nauli kufanikisha safari.
Naombeni msàada wenu.
Asanteni.
Nilipokuwa chekechea mwaka 1994 pale KKKT Korogwe kwa aunt yangu alikuja raisi wa awamu ya pili marehemu Ali Hasan Mwinyi katika uwanja wa TTC chuo cha ualimu Korogwe.
Nikamuomba Aunt aniruhusu niende nikamuone raisi lakini aunt alikataa akihofia umati mkubwa uliokuwepo nililia kukosa kumuona mh raisi.
Wadau narudi kwenu ni ndoto yangu tangu utoto kuonana na viongozi wakuu wa nchi naombeni mnipe mawazo jinsi ya kuonana na Mh.JKM au Mh.SAMIA ili nitimize ndoto yangu ndugu zangu.
Lengo la kutaka kuonana nao ni jema kuufurahisha moyo wangu kwa kutimiza ndoto hii.Yoyote mwenye uwezo wa kunifanikishia hili nitamshukuru sana nina bajeti ya laki tatu za nauli kufanikisha safari.
Naombeni msàada wenu.
Asanteni.