Mwaiwendangudage
Member
- Jul 16, 2021
- 39
- 44
Naombeni kwa wenye uelewa muweze kunijuza. Hivi kwa Mimi mwananchi wa kawaida (hohehahe) nikitaka kuonana na mkuu wa nchi natakiwa kufuata taratibu zipi ili nimfikie!
Hususani Kama Nina Jambo la muhimu ambalo nataka nimfikishie yeye mwenyewe moja kwa moja?
Au kwa Hali yangu nifute kabisa mawazo hayo? Ni kama milima HAIKUTANI?
Hususani Kama Nina Jambo la muhimu ambalo nataka nimfikishie yeye mwenyewe moja kwa moja?
Au kwa Hali yangu nifute kabisa mawazo hayo? Ni kama milima HAIKUTANI?