Nina na Sinta wako wapi?

uwe unaangalia na gesti za kwenda!....buguruni mnyamani kuna foleni kubwa...ONA SASA UMECHELEWA

hehehe uzuri wa hizo unalipia kwa sekunde mtu anakomaa tu hata kama kuna foleni ya mtu 20 kwenye bench.
 
Sisi iwa hatuponzwi na subira!

Hehehehe kuna Rest hausi moja ipo Baruti pale ni maarufu kwa chabozi ukiingia tu mtu zinajaa dirishani ndipo nilipo mfahamia Sinta kabla hajaanza kuwika kwa Luninga.
 
Hehehehe kuna Rest hausi moja ipo Baruti pale ni maarufu kwa chabozi ukiingia tu mtu zinajaa dirishani ndipo nilipo mfahamia Sinta kabla hajaanza kuwika kwa Luninga.

Mzee kumbe wewe ni mpiga chabo maarufu eehhhh....hebu nijibu swali nililomuuliza bht kwenye PM uwepo wa tiGo!
 
Mzee kumbe wewe ni mpiga chabo maarufu eehhhh....hebu nijibu swali nililomuuliza bht kwenye PM uwepo wa tiGo!

hahaaaaa mweeee!!!!! ilikuwa Kaizer na Nguli sasa na Fidel tena???? list itaendelea najua.....
 
Mzee kumbe wewe ni mpiga chabo maarufu eehhhh....hebu nijibu swali nililomuuliza bht kwenye PM uwepo wa tiGo!

Mpwa nilikubwa na dhoruba hiyo sio mbali pale Baruti ule mjengo ni maarufu kwa Chabo kila mtu analijua hilo kwa wenyeji wa pale. Mi nilikuwa najiexpress sasa si unajua raha ya kujiexpress lakini watu wakajaa wanakula chabo mm mzuka ukapanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…