Godbless mtega
Member
- Sep 15, 2018
- 41
- 24
Wana JamiiForums samahanini kwa usumbufu, Nina mtaji wa million 70 nahitaji kununua gari ya mizigo ili iweze nipigia dili nyingi na nipate nakurudisha fedha yangu kwa haraka.
Ushauliwenu naomba mnishauri aina gan ya gari inadumu sana na ni nzuri kwa biashara za mizigo kati ya fuso canter na scania na ni kwanini?.
Niko njombe
Ushauliwenu naomba mnishauri aina gan ya gari inadumu sana na ni nzuri kwa biashara za mizigo kati ya fuso canter na scania na ni kwanini?.
Niko njombe