Nina mke ananitukana

Huy atakuwa mjamzito....
 
Mwanamke anatakiwa akutukane mkiwa katika ya uwanja wa Fundi selemala. Au wakati unapiga bao.lakini si uko macho Na misharubu.una dhalilisha taasisi we hujui mwanaune ni taasisi! Ck akirudia MPE kelbu moja matata simama kama mume
 
Kwani umeoa wewe au dini yako..!? Yanini kujipa tabu kisa mkrito piga chini huyo mkuu ni hatari kwa afya.. Namini hata dini yenu inarusu kumuacha mke kama sio mwaminifu
 
Umenikumbusha "stick and carrots ".

Ushauri mzuri sana .
 
Baby live your life, just how you are
Shining star
Hope you never get famous
Flying low with the angels
They said "fake it 'till you make it"
I guess you fake when you make it
I told you "stick to the basics"
Built an empire started from the basement
If you tryna fix a glass that's broken
You know it might cut ya hand
Never want to see you with another man
Truth might eat you if you're mumbling
When it get too cold for a blanket
Need you hugging me
Because nobody gonna love you like I do
 
Mwanamke anakutana halafu unatulia! Mkanye kwa maneno asipoelewa mlambe vibao, sio unakuja kulia humu jamvini.
 
Ndoa ni taasisi, nyie mmeigeuza kama njia ya kusogeza huduma ya ngono karibu. Always unashauriwa kuchunguza kwanza mtu wa kuoa na sio kupofushwa na muonekano, angalia mkuu isije ikawa hata mtoto sio wako.
 
Kuachana si sahihi isipokuwa kama sababu ni uzinzi
 
Mwache aende mtoto komaa nae atakua tu au Kama VP bakora tu,ikishindikana kabisa mfungie chumban
 
Nani kakuambia ndoa ikifungwa haivunji?,zinavyunjwa sana tu
 
ulioa mwenyewe aisee....hukujua ujeuri wake huo...au alikuwa anaigiza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…