Nina mke ananitukana

Aliyekuambia zikifungw hakuna kuachana ni nani?
 
Huo msalaba ni wako huna budi kuubeba tu, omba Mungu akusaidie au ikishindikana Waite wa simamizi wenu wa ndoa wa kusaidie
 
Mwanamke apigwi mahondaw wangu...

Mimi ushawahi kunichukiza sana, lakini hata siku moja sijawahi kukupiga na sitowahi...
Ndomana always nasemaga am blessed to have you Smart911

Hata nikuchukizajee hunipigiii.. Unanipa psychological punishment tu jiniaz wangu kisha unanielekeza nikitoka hapo nakua nishajifunza kitu

Asanti sana [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Unanitegaga sana na mambo yako, kuhusu my past... But nangamua mapema na kukwepa vihunzi...
 
Ukitaka mwanamke mwenye mdomo ajidharau wewe muache atukanee atukaneeeee, usijibu, usikasirike baadae muongeleshe kawaida kama hamna kilichotokea?! Nakupa miezi 2 atajiona fala na wanawake tukidharauliwa tunajishtukia sana
 
Kama alikaa miaka 2 na mwingine wakaachana huyo ni mkorofi tengana naye kwa muda kwa afya ya pande zote mbili kwani usipoangalia mtafungana tu
 
Babaaaa Kiyumbi Yogaaaaaa....huo ni msala wako komaa nao babaaaaa km vp nipe namba yake nije nimkanye kanyuuuuu
 
Km unahic hyo ndoa haiwezi kuvunjika endelea kuvumilia maumivu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…