Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lakini kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sababu ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwanini nilimsaliti mume wangu. Sina sababu ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi katika nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili. Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lakini nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kivile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba niliyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mimi, mume wangu na wazazi wangu.
Kwani wakati unampa ulikuja hapa kutuambia umpeje..hebu tuanzie hapo...
 
kiukweli wanawake hawaaminiki. wakata kucha wanawatia sana wake za wake....
 
Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lakini kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sababu ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwanini nilimsaliti mume wangu. Sina sababu ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi katika nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili. Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lakini nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kivile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba niliyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mimi, mume wangu na wazazi wangu.
Pambana na hali yako. The ends don't justify the means
 
Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lakini kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sababu ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwanini nilimsaliti mume wangu. Sina sababu ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi katika nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili. Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lakini nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kivile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba niliyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mimi, mume wangu na wazazi wangu.
Hiyo mimba tafuta wa kumpa, mimi nilikuwa napita tu

Vipi kwanza mkuu mlisha achana na huyu mwenye mimba yako??
 
This guy she's idiot anawachezea ....kuna thread kaangalie kapost katolewa kizaz hana uwezo wa kuzaa ...hapo kasema ana mtt mmoja
 
sexlessKuna walioni- save kwenye simu zao kama "shosti". Kuna walioni-save kwa majina ya kike.<br /><br />Kuna wake za watu ambao wamethubutu mpk kunikaribisha makwao na kunitambulisha kwa waume zao kama " mtunza kijungu" cha upatu. Wengine hunitambulisha kama mwanasheria wa vikoba. Wengine hunitambilisha kuwa "tumesoma naye" au "tunafanya wote kazi", n.k<br /><br />Phone book yangu imejaa majina ya wake za watu kibao. Na si mimi tu hata kwenye maeneo ya starehe wanaume tukikaa tunaumana masikio juu ya kumtafuna mke wa fulani ama mke wa fulani katafunwa na fulani.<br /><br />Hao wake za watu wenyewe ni warahisi kuwapata na ni gharama nafuu sana kuwa nao. Hupenda kugharamia na kutoa huduma kwa michepuko.<br /><br />Kwa haya na mengine mengi, unanishawishi vipi kuoa? Nioe ili iweje? Nichapiwe na mm kama wengine?<br />Huu usemi kwamba " mke wa mtu sumu" ni zilipendwa.
 
hahahah naona mtu kaumbuka hapa...
 
Wanawake wanatia aibu sana! Hivi huwezi kusafisha miguu yako mpaka ukasafishwe na mwanamume? Kwanza unakwenda huko huku umevaa kimini wakati unajua kabisa utaonesha uchi wako! Huo ni umalaya!
 
We ndo wale wanaoenda hospital

YOU=Doctor ninatatizo la kusahau kila dk,
DR.= tatzo hilo limeanza lini?
YOU= tatzo gani?

Docta anakupa rufaa ya kwenda india.
Hiv unashndwa hata kukumbuka post zako za nyuma zinavyokinzana na mpya?
 
Inaumiza sana mpaka napata mashaka na mke wangu pengine hana tofauti na wewe...
Kwanini mnajirahisisha kiasi hiko angali uko na Mr wako..
Naomba hiyo Mr wako ajue kila kitu kuhusu huyo mpaka rangi
 
Kwamba ni fedheha olewa na msafisha kucha. Wanawake hawaelewag tu lazma mumeo umuone tofauti sbb ushamzoea ulipaswa umuombe Mungu hujiheshimu ndo maana chup ilionekana shetan yupo bize mda wote pole sana anguka tu muombe samahan mumeo japo ni ngumu ila utaumbuka tu
 
Back
Top Bottom