Nina milioni 1 nifanye biashara gani kwa siku nipate 12,0000/= faida?

Habari za majukumu ndugu zangu kijana mwenzenu nipo mbele yenu kwa ushauri wenu kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi ni mkazi wa Dar maeno ya Kitunda umri wangu 27

Mama yangu kanipa milioni 1 nifanye biashara ambayo itanipa faida ya kukizi mahitaji yangu madogo.

Naombeni ushauri wenu ni biashara gani naweza fanya hapa Dar.

Michango ya wadau



Unashauriwa kusoma nyuzi hizi

1. Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

2. Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)
Leta tu fungue library ya cd kupata 15 mpaka 30 kwa siku kawaida sana
 
Back
Top Bottom