Wote wamenielewa Ila ww ila ww ndo ujaelewa jf tushamiwa na vijana waovyoHio apo ni bilioni kumi na mbili
Nashukuru sna Wana jf kwa ushirikiano wenu nilipata muongozo ambao bado ninaufanya Hadi nashukuru mungu naendelea vizrMrejesho ulishapata hio
Leta tu fungue library ya cd kupata 15 mpaka 30 kwa siku kawaida sanaHabari za majukumu ndugu zangu kijana mwenzenu nipo mbele yenu kwa ushauri wenu kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi ni mkazi wa Dar maeno ya Kitunda umri wangu 27
Mama yangu kanipa milioni 1 nifanye biashara ambayo itanipa faida ya kukizi mahitaji yangu madogo.
Naombeni ushauri wenu ni biashara gani naweza fanya hapa Dar.
Michango ya wadau
Unashauriwa kusoma nyuzi hizi
1. Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?
2. Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)