Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Basi boss inatoshaAu jamaa atampakata bidada. Mikao ni mingi mkuu
Basi boss inatoshaAu jamaa atampakata bidada. Mikao ni mingi mkuu
Poa mkuuBasi boss inatosha
punga hiloPicha uliyoweka inaonesha mtafutaji mchumba hayupo serious.
Watu wanammega kisela ?punga hilo
Sasa akioa vizee si ndio ataviua kwa pressure bora damu changa bado ina nguvuHilo limwili...anataka mtoto wa miaka 20 - 25 halafu mwenye mwili mdogo, awe na huruma kidogo
Hizo specification kama unafanya chemical processing au titrationMuda umefika sasa wa kutafuta jiko - yaani kuoa. Nina miaka 39 sasa natafuta binti mtanashati, mrembo, mpole na mshika dini - awe ana miaka 22 hadi 24 asiwe na mtoto, msomi walau kidato cha nne; mrefu wa futi 5.8 na kuendelea asiwe Bonge uzito kilo 45-55 hivi, awe maji ya kunde au rangi ya chungwa itakuwa mwaaa zaidi.
Mengineyo tutaongea nikimwona na tukianza mahusiano - awe mcha Mungu na asiwe na makuu yaani macho juu uu - asiwe na tamaa - sichagui dini wala kabila. karibuni warembo.
Naambatanisha haka ka picha kangu nimekachukua nikiwa Gym leo asubuhi - Asanteni kwa ushirikiano wenu.
Sifa yangu ya pekee najua kupenda!!
View attachment 1138100
zinatafutwa hizo mkuuSifa ulizotaja ninazo zote na zaidi ila sasa una pesa!!!?
Anabadilika uyu mbonahapana, huyu hana maadili...simtaki kabisa.
Bikra kizazi hiki ndugu yangu.... lah hapana aisee.
Wewe nikababu hatukutakiMuda umefika sasa wa kutafuta jiko - yaani kuoa. Nina miaka 39 sasa natafuta binti mtanashati, mrembo, mpole na mshika dini - awe ana miaka 22 hadi 24 asiwe na mtoto, msomi walau kidato cha nne; mrefu wa futi 5.8 na kuendelea asiwe Bonge uzito kilo 45-55 hivi, awe maji ya kunde au rangi ya chungwa itakuwa mwaaa zaidi.
Mengineyo tutaongea nikimwona na tukianza mahusiano - awe mcha Mungu na asiwe na makuu yaani macho juu uu - asiwe na tamaa - sichagui dini wala kabila. karibuni warembo.
Naambatanisha haka ka picha kangu nimekachukua nikiwa Gym leo asubuhi - Asanteni kwa ushirikiano wenu.
Sifa yangu ya pekee najua kupenda!!
View attachment 1138100
Ha ha ha mi si kibabu bwana....Kadri mwanaume anavyozidi umri ndiyo anavyozidi kuwa mtam...onja uone yaliyomo!!Wewe nikababu hatukutaki
Hujapata tuHa ha ha mi si kibabu bwana....Kadri mwanaume anavyozidi umri ndiyo anavyozidi kuwa mtam...onja uone yaliyomo!!
Bado bana, wasichana wa kibongo unahitaji muda ku make choice.Hujapata tu
Toa number ya simuBado bana, wasichana wa kibongo unahitaji muda ku make choice.
Naendelea lla ikifika Dec 31 lazima.nifanye engagement, ili 2020 niwe mpya na mambo mapya.
siyo kweliDuuh mume akirud kazin, utadhani baba ako