Muda umefika sasa wa kutafuta jiko - yaani kuoa. Nina miaka 39 sasa natafuta binti mtanashati, mrembo, mpole na mshika dini - awe ana miaka 22 hadi 24 asiwe na mtoto, msomi walau kidato cha nne; mrefu wa futi 5.8 na kuendelea asiwe Bonge uzito kilo 45-55 hivi, awe maji ya kunde au rangi ya chungwa itakuwa mwaaa zaidi.
Mengineyo tutaongea nikimwona na tukianza mahusiano - awe mcha Mungu na asiwe na makuu yaani macho juu uu - asiwe na tamaa - sichagui dini wala kabila. karibuni warembo.
Naambatanisha haka ka picha kangu nimekachukua nikiwa Gym leo asubuhi - Asanteni kwa ushirikiano wenu.
Sifa yangu ya pekee najua kupenda!!
Mengineyo tutaongea nikimwona na tukianza mahusiano - awe mcha Mungu na asiwe na makuu yaani macho juu uu - asiwe na tamaa - sichagui dini wala kabila. karibuni warembo.
Naambatanisha haka ka picha kangu nimekachukua nikiwa Gym leo asubuhi - Asanteni kwa ushirikiano wenu.
Sifa yangu ya pekee najua kupenda!!