oscar mwankina
Senior Member
- Feb 10, 2013
- 187
- 118
Hahahahahaha Hahahahahaha Hahahahahaha hahahahahaha
Unataka umuue mtoto wa watu
Unataka umuue mtoto wa watu
Mzee mwenzangu vitoto vitakusumbua njoo tumalizie siku
Yah viungo ndo vile vile, inawezekana Siogopi kitu39 kwa 24 unaogopa nini sasa, labda kama hujawahi kuwa na mwanaume sawa nitaelewa ila viungo si ni vile vile tu.
mfuko wa kawaida upo, ila kubwa tutatafuta wote mambo kusaidiana....pa kuanzia papo.sio mbaya kikubwa mfuko
hapana kaka, miaka 24 si vitoto watu wazima wenzetu - wa kuoa hawezi kunisumbua nina imani hiyo.Haswa
Ila wanakuwaga hawana nguvu hawa!Hiyo misuli uwiiiii. Hapo hujavua nguo zote!!!
Aha hata mpaka hapo mimi nipo double siko single tenaMuda umefika sasa wa kutafuta jiko - yaani kuoa. Nina miaka 39 sasa natafuta binti mtanashati, mrembo, mpole na mshika dini - awe ana miaka 22 hadi 24 asiwe na mtoto, msomi walau kidato cha nne; mrefu wa futi 5.8 na kuendelea asiwe Bonge uzito kilo 45-55 hivi, awe maji ya kunde au rangi ya chungwa itakuwa mwaaa zaidi.
Mengineyo tutaongea nikimwona na tukianza mahusiano - awe mcha Mungu na asiwe na makuu yaani macho juu uu - asiwe na tamaa - sichagui dini wala kabila. karibuni warembo.
Naambatanisha haka ka picha kangu nimekachukua nikiwa Gym leo asubuhi - Asanteni kwa ushirikiano wenu.
Sifa yangu ya pekee najua kupenda!!
View attachment 1138100
Hapo umenenamwanamke anawahi kuzeeka, lets say nipate msichana wa miaka 24 mua huu by the time mimi nafika 60 yeye atakuwa na 45 - hapo mimi bado kabisa nadai - yeye atakuwa ndiyo anaelekea ukingoni......
So age wise si hoja kabisa...
hahaha nimecheka peke angu
Bora umtukuze yesu tu hakika.
haha haha we sio ulevi wako uo najua
Mungu akupe haja ya moyo wako mkuu!hapana, utafurahia tu shaka ondoa- cha msingi ni Upendo wa dhati na mimi najua kumfanya msichana afurahie maisha ya ndoa... sababu tayari mi ni mtu mzima naelewa mengi na nimekwepa mishale mingi.
hawa watakukusumbua mkuu nenda kijijini kwenu katafute mkemfuko wa kawaida upo, ila kubwa tutatafuta wote mambo kusaidiana....pa kuanzia papo.
hahahaha hatari mama ake!
Hayo makonakona kwa mwili ya nini eti
Hilo limwili...anataka mtoto wa miaka 20 - 25 halafu mwenye mwili mdogo, awe na huruma kidogoUnamuua na nini
Yatafute babake, tukuje tukule upate kakitambi ka kufutia simuhahahaha hatari mama ake!
Mimi acha nitafute mafaranga tu
Nilikuwa sijacheka toka asubuhi ujueYatafute babake, tukuje tukule upate kakitambi ka kufutia simu
Hahaha hahahaNilikuwa sijacheka toka asubuhi ujue
ka kitambi kanini vile?
hahahaha kunywa juice ya limao apo mama ake
Watafanya woman on top mkuuHilo limwili...anataka mtoto wa miaka 20 - 25 halafu mwenye mwili mdogo, awe na huruma kidogo
Kila siku? Mpaka kifo kitakapowatenganisha?Watafanya woman on top mkuu
Au upande upandeKila siku? Mpaka kifo kitakapowatenganisha?
Au jamaa atampakata bidada. Mikao ni mingi mkuuKila siku? Mpaka kifo kitakapowatenganisha?