Nina miaka 39 - Natafuta Mchumba

Muda umefika sasa wa kutafuta jiko - yaani kuoa. Nina miaka 39 sasa natafuta binti mtanashati, mrembo, mpole na mshika dini - awe ana miaka 22 hadi 24 asiwe na mtoto, msomi walau kidato cha nne; mrefu wa futi 5.8 na kuendelea asiwe Bonge uzito kilo 45-55 hivi, awe maji ya kunde au rangi ya chungwa itakuwa mwaaa zaidi.

Mengineyo tutaongea nikimwona na tukianza mahusiano - awe mcha Mungu na asiwe na makuu yaani macho juu uu - asiwe na tamaa - sichagui dini wala kabila. karibuni warembo.

Naambatanisha haka ka picha kangu nimekachukua nikiwa Gym leo asubuhi - Asanteni kwa ushirikiano wenu.

Sifa yangu ya pekee najua kupenda!!

View attachment 1138100
Aha hata mpaka hapo mimi nipo double siko single tena
 
mwanamke anawahi kuzeeka, lets say nipate msichana wa miaka 24 mua huu by the time mimi nafika 60 yeye atakuwa na 45 - hapo mimi bado kabisa nadai - yeye atakuwa ndiyo anaelekea ukingoni......

So age wise si hoja kabisa...
Hapo umenena
 
hapana, utafurahia tu shaka ondoa- cha msingi ni Upendo wa dhati na mimi najua kumfanya msichana afurahie maisha ya ndoa... sababu tayari mi ni mtu mzima naelewa mengi na nimekwepa mishale mingi.
Mungu akupe haja ya moyo wako mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom