kitoto wa vitoto
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 360
- 385
Ni usiku ila mimi Sina usingizi.
Nina maumivu ya kiuno yasiyoelezeka. Naumwa kama mwez wa sita huu nimeenda hospitali bila mafanikio. Kinafunda kama kina usaha ndani.
Pia Nina maumivu ya kichwa kisichopona (chronick headache) sijui shida iko wapi. Mbaya zaidi kichwani mara nyingine nasikia mngurumo /mchakacho kama ausikiao tumboni mtu mwenye njaa.
Naomba anayeweza kunishauri au kujua chanzo Cha tatizo na napateje matibabu
Tusaidiane tafadhali
Nina maumivu ya kiuno yasiyoelezeka. Naumwa kama mwez wa sita huu nimeenda hospitali bila mafanikio. Kinafunda kama kina usaha ndani.
Pia Nina maumivu ya kichwa kisichopona (chronick headache) sijui shida iko wapi. Mbaya zaidi kichwani mara nyingine nasikia mngurumo /mchakacho kama ausikiao tumboni mtu mwenye njaa.
Naomba anayeweza kunishauri au kujua chanzo Cha tatizo na napateje matibabu
Tusaidiane tafadhali