Kingengame
Member
- May 4, 2012
- 95
- 17
Mbona mnajishtukia wenyewe! Makapi niSheeeedah!
Lowassa kaenda chadema kuwavuruga. Hiyo ni trick ya ccm...lowasa awavuruge weeee washindwe kufanya la maana. Ukawa nao hawajashtuka tu...
Great thinking. Wapinzani wamekwisha ng'amua hilo, ila wamepigwa pesa. Tizama facial expression zao ktk vikao vyao. What they say isnt their face.
Eti wanaCCM ndio wanakuja kutushtua kuwa like goli la mkono ni lowasa,hahahaaaaaaaa!Mbavu zangu jamani,hivi si msubiri yatimie ndio muicheke ukawa,sasa mnawashauri ili iweje?Mwaka huu mtatembelea mikono kwa kuweweseka
Hedding yko mkuu nimeipenda japo watu hawapnd hyo hedding
Naendelea kushangaa wanaopuuza mtikisiko uliomo ndani ya UKAWA. Hivi Prof Lipumba na Dk Slaa wote ni 'wapuuzi' kwa maamuzi yao kweli?!
GOLI LA MKONO litafakariwe sana... Kuna wakati huwa napata hisia kwamba Mheshimiwa Mbowe na baadhi ya Pillars za Upinzani hawapo serious na wanachokihubiri, na si ajabu wao ndio wakwamishaji wakuu wa Ukombozi. Nani anajua, labda wanaigiza tu na kuendelea kuwapa Ushindi CCM kila Chaguzi Kuu zinapofika..
Siasa zina mambo mengi sana..
Hedding yko mkuu nimeipenda japo watu hawapnd hyo hedding