Nina mashaka na Rais. Alipaa sasa anaporomoka kwa kasi

Wazungusha mikono jengeni hoja za kujenga nchi,kosoeni ili kuboresha utendaji wa kazi; Ni upuuzi kukatisha tamaa ili nyie muachiwe kutawala. Wanaoongozwa wanajua wanataka nini.
 
Hakuna hoja porojo tu

Tangu lini , wapingaji wakamtakia mema jpm.

Mtaandika sana. Mwisho mtapiga makofi
 
Ukweli ni kwamba sikuamini yale nilo sikia. Ati kuna hakimu aliamua kesi 900. Sijui ni kile kiswahili cha JPM kilikuwa kigumu kwangu au ndivyo alivyosema. Nikajiuliza, ni kwa kipindi cha mwaka au miaka 5??
Jaribu tu kupiga hesabu.
Kama hakimu atapiga kazi mfululizo mwaka mzima bila kutegea, itabidi aingie ofisini siku 240 hivi. Hizi ni siku zake za kazi. Kesi 900 /240 ni sawa na kesi 4 kwa siku. Azisikilize na kuzitolea maamuzi kwa siku. Hata kesi ya wizi wa kuku sidhani kama haki itatendeka.
Anataka kutupeleka kubaya
 
Ukweli ni kwamba sikuamini yale nilo sikia. Ati kuna hakimu aliamua kesi 900. Sijui ni kile kiswahili cha JPM kilikuwa kigumu kwangu ....

Kwa kweli baadhi ya facts & figures kwenye hotuba ya JPM zilikuwa zinaacha maswali mengi. Pamoja na idadi hii ya kesi, alisema eti kuna mchezaji Ulaya 'amefungwa' kwa kukwepa kodi wakati ukweli ni kwamba huyo mchezani (Neymar Jr) hajafungwa na hata jumamosi alicheza. Naona mbali na kiingereza, hata kiswahili pia kinamtatiza kidogo ...
 
Magufuli hahitaji sifa. Anahitaji kazi
Huu ndio ukweli. Sifa ndio zilitufikisha hapa. Haya maneno kuwa 2020 ukawa wanachukua nchi tulishasikia kabla ya uchaguzi wa 2015 kutoka kwa viongozi wao waandamizi kuwa ccm ijitayarishe kukabidhi nchi kwa amani. Rais anafanya kazi wako watakao appreciate na watakaobeza. Hii ni hulka ya binadamu kwani kila mtu yuko unique ktk kuelezea msimamo/matarajio yake. Cha msingi ni kujadili hoja bila ushabiki wa kisiasa.
 
Wazungusha mikono jengeni hoja za kujenga nchi,kosoeni ili kuboresha utendaji wa kazi; Ni upuuzi kukatisha tamaa ili nyie muachiwe kutawala. Wanaoongozwa wanajua wanataka nini.

Hebu tusaidie hakimu mmoja kesi 900 kwa mwaka inawezekanaje? Ili tuone wapi tumeropoka .Si swala la itikadi ila tunahitaji tuelimishane.
 
rafiki,

ndio maana raisi wangu akaitwa mkuu wa nchi.
jichukulie ww ni baba, je vitu vinavyotokea nyumbani huvijui licha ya kwamba mama ndio hufanya shughuli nyingi nyumbani?
same kwa raisi wangu kabla hajasema lolote siku ile ya mahakama tayar amejua mwenendo wa kesi na ukweli halisi ndio maana alipata nguvu ya kuyasema aliyoyasema.
tuchukulie mfano wa haya c&f agencies 210 zilizofungiwa leo( refer to other habari humu jamvini) zile zote si hela? bado kuna wahujumu wa TRA na other Govt agencies wakifilisiwa si hela zingine hizo ni kwamba siku zote hua wanaishinda serikali kwa sbb ya kutoa rushwa sasa huo mlango ukifungwa nn kitatokea??

mtu amekutwa na meno ya tembo au nyara za serikali anashinda vp kesi? au kwa nn kesi inachukua miaka kadhaa si ndio mwanya wa rushwa huo?

ni kwamba watu haswa waTZ wenzangu TUBADILIKE, kama ulikua mtu wa deal acha


Kila mtu ana haki ya kujitetea mbele ya sheria na kesi ni ushahidi.

Jr ukimkuta meno akakeambia amelipwa na mwenye mali utafanyaje? Si lazima mwenyewe atafutwe na wakt mwingine skawa mwenye mali ila akadema si yake mahakama itahukumu bila kujirifhisha?

Lakini je kesi inayohitaji dpp na polisi watoe maelezo ya ushahd jaji atavifanyaje hata km ni red handed?

Je mshtakiwa akisema anaumwa hawezi kuhudhuria kesi atahukumiwa tu bila kujitetea?

Nisaidie.
 
Ni mtazamo wako tuu lkn mh Rais yuko sahihi na ameamua nchi iende mbele hz tathmini za kupima kama anapaa au anaporomoka bado ni mapema sana kubashiri hayo.
 
Binafsi nafikiri raisi awe dictator au mpole huwa napima matokeo, kikwete alikuwa mpole sana ma mdo taifa lilifika haoa lilipo
 
rafiki,

ndio maana raisi wangu akaitwa mkuu wa nchi.
jichukulie ww ni baba, je vitu vinavyotokea nyumbani huvijui licha ya kwamba mama ndio hufanya shughuli nyingi nyumbani?
same kwa raisi wangu kabla hajasema lolote siku ile ya mahakama tayar amejua mwenendo wa kesi na ukweli halisi ndio maana alipata nguvu ya kuyasema aliyoyasema.
tuchukulie mfano wa haya c&f agencies 210 zilizofungiwa leo( refer to other habari humu jamvini) zile zote si hela? bado kuna wahujumu wa TRA na other Govt agencies wakifilisiwa si hela zingine hizo ni kwamba siku zote hua wanaishinda serikali kwa sbb ya kutoa rushwa sasa huo mlango ukifungwa nn kitatokea??

mtu amekutwa na meno ya tembo au nyara za serikali anashinda vp kesi? au kwa nn kesi inachukua miaka kadhaa si ndio mwanya wa rushwa huo?

ni kwamba watu haswa waTZ wenzangu TUBADILIKE, kama ulikua mtu wa deal acha
Umenena mkuu. Hivi kweli case ya mtu kashikws red-handed na nyara za serilaki kisha case inachukua miaka kusikilizwa kweli inaeleweka? Wakati mwingine watanzania hatueleweki tunalamikua vitu viko wazi kabisa. Ushahidi gn unahitajika zaidi kwa suala kama hili kama sio ku create mazingira ya rushwa tu.
 
Back
Top Bottom