Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Habari za sahizi humu jamvini.
Nilikuwa naomba ushauri wenu,Nimejikuta napenda sana kula vitunguu mbichi kupita kiasi,yaani hii imeanza mda mrefu,kila ninapokula chakula huwa lazima nikatekate kitunguu mbichi au sometimes napenda sana kula kachumbari ila kuwe na vitunguu kwa wingi au vitunguu peke yake,ninapotumia kitunguu na chakula kingine yaani najihisi vizuri au nashiba vizuri.
Mnaweza kunisaidia nina mapungufu gani mwilini na je kuna athari nitakazopata?
Nilikuwa naomba ushauri wenu,Nimejikuta napenda sana kula vitunguu mbichi kupita kiasi,yaani hii imeanza mda mrefu,kila ninapokula chakula huwa lazima nikatekate kitunguu mbichi au sometimes napenda sana kula kachumbari ila kuwe na vitunguu kwa wingi au vitunguu peke yake,ninapotumia kitunguu na chakula kingine yaani najihisi vizuri au nashiba vizuri.
Mnaweza kunisaidia nina mapungufu gani mwilini na je kuna athari nitakazopata?