KingDenis
Senior Member
- Aug 21, 2014
- 183
- 77
Hata kuigiza kwenyewe hajui yani swaga za kiume ila ana akili za kikeHuyu si mtafuta mchumba bali analeta ucheshi humu jf, maana lugha anayotumia kuwakilishahilo jambo inaonekana kuna tatizo mahali.