Nina mapenzi ya dhati; natafuta mchumba

Nina mapenzi ya dhati; natafuta mchumba

unaonekana hauko serious
unajuaje kuwa siko seriouc umeshanisikiliza maana wewe ushaweka maelezo yako hapa sasa namie unisikilize nipe your namba au kama vipi njoo mbezi beach tuonane
 
Huna "b" alafu unatoa masharti kama mganga wa kienyeji...

Sijui unaweza bahatika maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom