kid ink tz
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 307
- 320
Ni mwaka sasa tangu ichi kidonda kinipate.
Kilianza kama jipu karibu na sehemu ya aja kubwa. Baada ya siku mbili kikawa kikubwa uku ndani kikiwa na usaha. Nikaamua kwenda hospital na kuni angalia wakasema ni jipu.
Nilipewa dawa za kutuliza maumivu na za kufanya liive halaka ili nipasue. Baada ya kutumia lika iva ila kupasua nikawa naogopa ndipo usiku likapasuka lenyewe na kutoa usaa wote.
Baada ya hapo lika jitengeneza kidonda kidogo sana ambacho kilikuwa kina nipa maumivu sehemu ya aja kubwa na kutoa usaa mda wote. Nimeenda hospital wananipa dawa lakini hakizibi na maumivu yanazidi huku usaa ukizidi kutoka.
Naomba ushauri Wa dawa ili niweze kupona.
Kilianza kama jipu karibu na sehemu ya aja kubwa. Baada ya siku mbili kikawa kikubwa uku ndani kikiwa na usaha. Nikaamua kwenda hospital na kuni angalia wakasema ni jipu.
Nilipewa dawa za kutuliza maumivu na za kufanya liive halaka ili nipasue. Baada ya kutumia lika iva ila kupasua nikawa naogopa ndipo usiku likapasuka lenyewe na kutoa usaa wote.
Baada ya hapo lika jitengeneza kidonda kidogo sana ambacho kilikuwa kina nipa maumivu sehemu ya aja kubwa na kutoa usaa mda wote. Nimeenda hospital wananipa dawa lakini hakizibi na maumivu yanazidi huku usaa ukizidi kutoka.
Naomba ushauri Wa dawa ili niweze kupona.