ngorombo
Member
- Jun 7, 2019
- 60
- 200
Habari Wana jamvi naombeni msaada wenu, nina tatizo la uvimbe kwenye Mfereji wa haja kubwa ( Mlangoni kabisa).
Nimevumilia maumivu yamezidi kuwa makali; wakati wa kukaa, kutembea na mbaya zaidi nikiwa toilet kwa short call na long call.
Kilianza kiupele kidogo ambacho maumivu yalikuwa sio makali hivyo na sikutilia maanani
Nitumie dawa gani niweze kupona au tatizo litakuwa ni nini?
Naombeni msaada wenu.
Nimevumilia maumivu yamezidi kuwa makali; wakati wa kukaa, kutembea na mbaya zaidi nikiwa toilet kwa short call na long call.
Kilianza kiupele kidogo ambacho maumivu yalikuwa sio makali hivyo na sikutilia maanani
Nitumie dawa gani niweze kupona au tatizo litakuwa ni nini?
Naombeni msaada wenu.