donimuya
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 272
- 55
Jana katika stori na rafiki yangu, alikuwa akilalamika eti.
Kila wazo ninalotoa wanaseme hata siyo bure huyu CHADEMA/UKAWA.
Wanafunzi wanachangishwa madawati kila mmoja 80,000/= lakini hayanunuliwi ukishauri basi kila mtoto aje na dawati badala ya fedha utasikia ah huyu CHADEMA.
Maabara hazijengwi yanaunganishwa madarasa yaliyopo na kupakwa rangi kisha wanasema wamejenga maabara mpya ukihoji eti oh huyu UKAWA.
Kila mwanafunzi wa kidato cha kwanza takribani wanafunzi 500 kila mwaka anatozwa 100,000/= ya jengo la darasa. madarasa hayajengwi na machache yaliyojengwa yanabomoka ukihoji wanasema huyu CHADEMA.
Watu wanapiga pesa kama hawana akili nzuri sasa hoji watakuita UKAWA.
NIMEJIFUNZA JAMBO KUBWA SANA.
Matatizo ya nchi hii yanasababishwa na mfumo wa CCM, na UKAWA ndio dawa. jamaa aliposikia nilichojifunza toka kwake akachana kadi ya CCM palepale japo wenzake inawasaidia kuhongwa t shirt, kofia na vijisenti na sasa anasubiri OKTOBA kuiondoa CCM.
Kila wazo ninalotoa wanaseme hata siyo bure huyu CHADEMA/UKAWA.
Wanafunzi wanachangishwa madawati kila mmoja 80,000/= lakini hayanunuliwi ukishauri basi kila mtoto aje na dawati badala ya fedha utasikia ah huyu CHADEMA.
Maabara hazijengwi yanaunganishwa madarasa yaliyopo na kupakwa rangi kisha wanasema wamejenga maabara mpya ukihoji eti oh huyu UKAWA.
Kila mwanafunzi wa kidato cha kwanza takribani wanafunzi 500 kila mwaka anatozwa 100,000/= ya jengo la darasa. madarasa hayajengwi na machache yaliyojengwa yanabomoka ukihoji wanasema huyu CHADEMA.
Watu wanapiga pesa kama hawana akili nzuri sasa hoji watakuita UKAWA.
NIMEJIFUNZA JAMBO KUBWA SANA.
Matatizo ya nchi hii yanasababishwa na mfumo wa CCM, na UKAWA ndio dawa. jamaa aliposikia nilichojifunza toka kwake akachana kadi ya CCM palepale japo wenzake inawasaidia kuhongwa t shirt, kofia na vijisenti na sasa anasubiri OKTOBA kuiondoa CCM.