Nina Imani kubwa na CHADEMA - Prof. Baregu

Nina Imani kubwa na CHADEMA - Prof. Baregu

Greenwhich

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,337
Reaction score
968
Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Professor Mwesiga Baregu amesema ana Imani kubwa na chama chake katika kuleta uongozi bora nchini.

Professor Baregu aliyezungumza na waandishi nje ya Ukumbi ambao mkutano wa Kamati Kuu ukiwa unaendelea amesema kuna watu ambao wanakesha wakiomba ili Chadema isambaratike lakini akaonya watu wa aina hiyo watasambaratika wenyewe.

Kiongozi huyo ambaye alikuwa mjumbe wa Tume ya Katiba amesema kwa umri wake ameona na kupitia mambo mengi katika siasa na hivyo akasema ana uhakika Chadema itafika mbali katika siasa za Tanzania.
 
Ndo wasomi wachache wanafahamu ukweli kasoro wale wa mtaa wa lumumba wavaa miwani za mbao
 
Kina MM na wenzake walikuwa wanafikiri mtu mzima angejiunga na kigenge chao.

hakika namkubali huyu mwamba.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Professor Mwesiga Baregu amesema ana Imani kubwa na chama chake katika kuleta uongozi bora nchini.

Professor Baregu aliyezungumza na waandishi nje ya Ukumbi ambao mkutano wa Kamati Kuu ukiwa unaendelea amesema kuna watu ambao wanakesha wakiomba ili Chadema isambaratike lakini akaonya watu wa aina hiyo watasambaratika wenyewe.

Kiongozi huyo ambaye alikuwa mjumbe wa Tume ya Katiba amesema kwa umri wake ameona na kupitia mambo mengi katika siasa na hivyo akasema ana uhakika Chadema itafika mbali katika siasa za Tanzania.

Kweli kabisa kiongozi umenena tegemeo pekee kwa watanzania ni chadema tu.Changamoto tunazopitia ni ishara tosha ya kufanikiwa kwetu,kwani tunavuka vikwazo vingi
 
Hongera mzee wetu kwa kuliona na kuliweka sawa hilo,wakati wao wanakesha kuleta majungu hapa jf sisi tupo field tunajenga chama na kusambaza elimu ya uraia.Watu wamehamasika vya kutosha wanasubiri tu daftari liboreshe wafanye kazi yao ya kuipeleka kuzimu ccm.
 
Chadema ndio chama makini na yenye uwezo wa kusimamia maamuzi yake
 
Hakuna anachojua naye huyu babu chadema itafika mbali wapi zaidi ya arusha na moshi anatia aibu kuongea uongo kama zuzu.
 
Chadema ndio chama makini na yenye uwezo wa kusimamia maamuzi yake

umesema ukweli mkuu ndiyo maana hata mauaji ya wangwe iliweza kuyasimamia na kufanikisha vema.
 
Mimi na Familia yangu tunaimani inayoongezeka kila siku kwa chama hiki.
 
Hakuna anachojua naye huyu babu chadema itafika mbali wapi zaidi ya arusha na moshi anatia aibu kuongea uongo kama zuzu.

Imakugusa sana MKUU, na bado sana..............
 
Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Professor Mwesiga Baregu amesema ana Imani kubwa na chama chake katika kuleta uongozi bora nchini.

Professor Baregu aliyezungumza na waandishi nje ya Ukumbi ambao mkutano wa Kamati Kuu ukiwa unaendelea amesema kuna watu ambao wanakesha wakiomba ili Chadema isambaratike lakini akaonya watu wa aina hiyo watasambaratika wenyewe.

Kiongozi huyo ambaye alikuwa mjumbe wa Tume ya Katiba amesema kwa umri wake ameona na kupitia mambo mengi katika siasa na hivyo akasema ana uhakika Chadema itafika mbali katika siasa za Tanzania.

zitto anaumia sana akiona hii na zille siasa za kijinga anzoendelea nazo kule facebook
act.jpg

wanmwita Peter Katunka tusaidianeni wana JF hii picha ndio wanaweka facebook ameama Chadema then NCCR na sasa ni ACT tanzania
picture analysis show
T-shirt amevalisha kwanza, pili sura yake inaonyesha anitaji ukombozi wa chadeam kumtoa kwenye mikono ya CCM, Tatu yuko na zero comfedence ambayo chadema atutumii watu wa namna hiyo, nne na mwisho ni malaya wa siasa whichi is useles to us
 
Du siasa za kibongo bado sana,nimejaribu kufananaisha na majirani zetu,nikagundua kitu tunachokifanya leo Tanzania jirani zetu wa kenya walizifanya tangi miaka ya 90,na ukijaribu kuangalia uhuru hizi nchi zilipata almost kipindi sawa tena sisi tuliwahi kabla yao lakini bado tuko nyuma by far,so i was trying to brainstorm where have we gone wrong!!! kwa kweli jibu sijapata na sioni kama niko karibu na jibu....................
Anyway nilikuwa napita tu
 
Baregu ni reject tu. hafai hata kwa kuwashia kuni
 
Du siasa za kibongo bado sana,nimejaribu kufananaisha na majirani zetu,nikagundua kitu tunachokifanya leo Tanzania jirani zetu wa kenya walizifanya tangi miaka ya 90,na ukijaribu kuangalia uhuru hizi nchi zilipata almost kipindi sawa tena sisi tuliwahi kabla yao lakini bado tuko nyuma by far,so i was trying to brainstorm where have we gone wrong!!! kwa kweli jibu sijapata na sioni kama niko karibu na jibu....................
Anyway nilikuwa napita tu
Kenya yaomba msaada wa mahindi toka Tanzania
 
Baregu ni reject tu. hafai hata kwa kuwashia kuni

Wewe usiye reject una umuhimu gani katika Dunia hii zaidi ya kuwa kibaraka wa watu wenye hela zao?tunachokisema tunahitaji mabadiliko,tumechoka kuambiwa hii nchi ni masikini wakati tunajua ni tajiri,nimepita maeneo ya Arusha nikaakuta majumba na watu wenye hela na magari ya dhamani ya juu kabisa kuuliza nikaambiwa ni wafanya biashara wa mawe tena tanzanite,nikajiuliza sasa kama wale wanayouza chenga wamekuwa matajiri hivi je wale waafrika ya kusini walioko huko wana hali gani???????????je kwanini tunakuwa wajinga jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiii,hivi watanzania tunasubiri nini????????hakuna mtu atakayetoka mbinguni kuja kutukomboa we have to act and the time is now!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom