Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Professor Mwesiga Baregu amesema ana Imani kubwa na chama chake katika kuleta uongozi bora nchini.
Professor Baregu aliyezungumza na waandishi nje ya Ukumbi ambao mkutano wa Kamati Kuu ukiwa unaendelea amesema kuna watu ambao wanakesha wakiomba ili Chadema isambaratike lakini akaonya watu wa aina hiyo watasambaratika wenyewe.
Kiongozi huyo ambaye alikuwa mjumbe wa Tume ya Katiba amesema kwa umri wake ameona na kupitia mambo mengi katika siasa na hivyo akasema ana uhakika Chadema itafika mbali katika siasa za Tanzania.
Professor Baregu aliyezungumza na waandishi nje ya Ukumbi ambao mkutano wa Kamati Kuu ukiwa unaendelea amesema kuna watu ambao wanakesha wakiomba ili Chadema isambaratike lakini akaonya watu wa aina hiyo watasambaratika wenyewe.
Kiongozi huyo ambaye alikuwa mjumbe wa Tume ya Katiba amesema kwa umri wake ameona na kupitia mambo mengi katika siasa na hivyo akasema ana uhakika Chadema itafika mbali katika siasa za Tanzania.