Hofumoyoni,
Pole sana ndugu hakika nimeumia sana baada ya kusoma Artical yako. Katika harakati za maisha niliwahi kutembelea nchi za wenzetu "Scandinavia Countries" utaratibu wa kule ni kwamba ukishuka tuu Airport unapimwa HPV then ukikutwa hauna wanatoa chanjo na endapo unamaambukizi wanakupa Kijarida cha kusoma ili ujifunze jinsi ya kuishi na tatizo hilo.
Kimsingi "Human Papilona Virus" ndio wanaosababisha "liver Cirrhosis" na hivyo kupelekea mtu kufariki. Ugonjwa huu umegawanyika katika makundi yafuatayo. Hepatitis A, Hepatitis B na Hepatitis C.
Watu wengi wanapata huu ugonjwa katika mazingira rafiki ambayo ni vigumu wewe kugundua. Mfano. Jasho, Mate, Ngono (Maji maji ya uke). Kimsingi huwa nawaonea huruma sana ninapoona wadogo/kaka zangu wanaocheza mpira halafu Sub mtu anatoka nje anampa mwenzie Tshirt ya sare yenye jasho lake Avae kisha aingie uwanjani kucheza mpira. Utaratibu huu huleta maambukizi fasta mno.
Kuna kipindi nikiwa Bongo nilienda Hospital fulan hivii ya Rufaa ili kupata Vaccine yake lakini nilifeli nikaenda mkoa mwingine kwenye hospital ya Rufaa bado nilifeli. Nilifanya uchunguzi nikagundua kuwa wale "Laboratory Technician" huwa wanapewa chanjo yake kwasababu wapo katika risk kubwa ya kupata maambukizi kutokana na kudeal na Sample mbali mbali za wagonjwa.
My take:
1) Naimani One day Kupitia Rais wetu Mhe. John Magufuli anaweza akafanya utaratibu mzuri wa kutoa chanjo hiyo free kwa wananchi wote ili kunusuru Watoto/ labour force/Wazee waweze kuwa salama na vile vile hao watoto wadogo wapewe chanjo hizo mapema wakiwa wangali wadogo. Akifanya hivyo Mhe atakuwa ameongeza credit sana kwa sisi wanyonge tusiokuwa na fedha za kupata chanjo hiyo.
2) Serikali itoe matangazo yakutoa elimu kuhusu ugonjwa huo maana ni janga kwa Taifa. Jirani yangu hapa ameupata mwezi uliopita, alikuwa ni mcheza mpira sana na amejingundua ana maambukizi ya Virus hao pale mke wake alipokuwa mjamzito na alipopelekwa hospital akaambiwa anatakiwa kuongezewa damu ndipo jamaa akajitolea damu ila majibu ya vipimo yakaonyesha damu yake ina virus hivyo.
Najisikia furaha nilifanikiwa kupata chanjo hiyo lakini bado sijamaliza tiba kamili.