The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Diana-DaboDiff, kuna kitu naomba unifafanulie, hizo hisia ulizo nazo juu ya huyo mrembo!! Unataka yeye ndio awe Baba na wewe uwe mama? ?? Baada ya kufafanua hili utapatiwa ushauri ulio sahihi hapa Jamvini.Nawahakikishia wanajamvi kuwa mume wangu ananiridhisha na ni 'mkulima' mzuri sana tatizo liko kwangu sio kwake.Niliwaambia kuwa nimepangiwa safari ya kikazi Arusha jumapili sasa niliporudi ofisini leo baada ya kupumzika siku mbili nimeambiwa kwenye safari tutakuwa watatu na yule binti akiwepo,hapa nimeishiwa nguvu nilidhani ningetumia muda huo kujaribu kuweka mawazo sawa lakini naona mtihani unazidi kuwa mgumu.Mkurugenzi anadai kwakuwa hawa wawili ni wageni kazini huu ni muda mzuri kwa wao kujua yanayoendelea kwenye matawi ya kampuni na kupata uzoefu,laiti angejua!
Pointi ya mwaka hii Bazazi, imetulia1. Usiuendeke moyo unavyokutuma, unadanganya; jaribu kushinda usiposhinda huna budi kuumia.
Its official now am bisexual from last night,will try and see which way to stay with my man or lady friend.
Its official now am bisexual from last night,will try and see which way to stay with my man or lady friend.
Wewe hebu njoo kwangu nikupe vitu, nina uhakika utamsahau huyo demu wako.Its official now am bisexual from last night,will try and see which way to stay with my man or lady friend.
Hongera kwa kupata mume wa pili....
Diana hivi wewe ndio Da Sophy naona hamuishi vituko
Mume au mke? mimi ndio niliotongoza mpaka binti akaingia laini akawa anatazama chini na kuchezea vidole.
Sasa ulifungua thread kutupotezea muda? Mwe! Safari njema ya huko uendako..kuzimuIts official now am bisexual from last night,will try and see which way to stay with my man or lady friend.
Its official now am bisexual from last night,will try and see which way to stay with my man or lady friend.
Its official now am bisexual from last night,will try and see which way to stay with my man or lady friend.
HEEEE!!! Ndiyo nini sasa kupenda dada mwezako??Nlipokuwa sekondari na baadae chuo nilihisi kuwa na hisia za kimapenzi na wanawake wenzangu lakini niliweza kuzishinda na kuendelea na maisha yangu.Mwezi mmoja ulopita kuna dada kaajiriwa ofisini kwetu na toka nimuone kwa mara ya kwanza nimekuwa na hisia kali juu yake.Dada huyu anatabia ya kutukumbatia kina dada wenzake anapotusalimia asubuhi sasa huu umekuwa mtihani mkubwa kwangu napenda tukumbatiane kwa muda mrefu na labda tungekuwa peke yetu ningetamani kumbusu mdomoni na hata kumpapasa. Namuwaza huyu dada muda wote hata kumuota usiku.Ndoa yangu ina miezi sita tu nampenda mume wangu lakini nashindwa kudhibiti hisia hizi kwa dada huyu.Dada mwenyewe ana msimamo kaisha watolea nje vijana wawili ofisini hapa kuwa hataki mpenzi kwa sasa anataka kuweka akili zake zote kazini.Msichana ni mrembo kweli,mrefu,mwembamba na ana lips za kufa mtu.Nafikiria kuacha kazi na kuhamia ofisi nyingine kuna kampuni waliniambia muda wowote naotaka watanichukua.Nishaurini wanajamvi wenzangu yamenikuta.
span.jajahWrapper { font-size:1em; color:#B11196; text-decoration:underline; } a.jajahLink { color:#000000; text-decoration:none; } span.jajahInLink:hover { background-color:#B11196; }
ha ha ha bazazi umesema huyu naona ni juu yake kusuka au kunyoa ..lakini naona kama tunampigia mbuzi gitaa diana double d atakuwa ameshatest hako ka mchezo sasa anataka kuendelea .
Kilichobakia aokoke tu