Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 725
- Thread starter
- #61
Kuna watu humu wana negative mind sana. Kwa hiyo unadhani wewe una upendo kwa watoto kuliko Mimi?Inaelekea huna mtoto wa kumzaa kwa sasa. Utakapokuwa na watoto wawili angalau.... utaelewa vema kipindi hicho.
Sent using Jamii Forums mobile app