Nina hasira mbaya na huyu jamaa

maatope

JF-Expert Member
Sep 19, 2013
1,424
957
Hivi hakuna hata uchawi wa kumrushia huyu jamaa apooze mwili na kutuacha team yetu??jinga kabiiisaaaaa
13001216_1692159684383277_6853472710081790685_n.jpg
 
Kipondo tena leo nini..?.niliangalia dk 20 za kwanza nikala kona...
 
Jamani kuna mwanajamii from ameniachia charge yake pande za Golden Bridge nami nataka kuondoka popote ulipo tuonane nikupatie charge yako mkuu
 
kama wachezaji hawajitumi then ndio kabisa anatakiwa aondoke apatikane anayeweza kuwafanya wajitume
 
nalo neno MAN U hadi hii leo wanahangaika
simeone au hata de boer,nakuhakikishia hata viera hii timu ataiweza..yaani wachezaji hakuna motivation kabisa wanacheza kama mzombie..yeye mr bean raha yake wapige pasi hadi golini ...niambie ni lini umeona arsenal wanafunga goli njeya box???na ndio maana akamtema podolski sababu jamaa yeye alikuwa akiona chance anafumua mashuti nje ya box na mr bean hataki hilo..he is so yesterday
 
huyu mzee aondoke tuu baba'ke h
lkn pia na hao maboss wakna kloenke waache kumlea kwa kutoa kauli mbovu kwa mashabiki.....!!!tutawasusia gem zao tusiingie wala kuangali na jez hatununui kubabako zao.
 
Back
Top Bottom