Nina hamu ya nyamachoma

mie napajua kwa RG huyo kisamo sina uhakika, ni pale nyuma ya best bite kwenye gereji ya mabenzi?
 
Mi ndo natoka vipi naruhusiwa uwahi nikaanze na moja bariiidiiii ila mimi itabindi nisindikize na St. Anna then nimalizie na Valuuuuuuuuu.......DN nitangulie....
 
mie napajua kwa RG huyo kisamo sina uhakika, ni pale nyuma ya best bite kwenye gereji ya mabenzi?

Mkuu,

Nyama choma zinapatikana NJE ya jiji:

Tegeta (Fairway), Bunju (Kibila), Airport (Highway), Tabata (Baracuda), Mbagala (Rangi Tatu), Kigamboni(Pale nanniii), Temeke/Chang'ombe (RV), Mbezi/Africana (T-Square/Nyamachoma/Nguruko), Kimara (Kuanzia Lavena hadi Luguruni Park)
 
Mkuu,

Nyama choma zinapatikana NJE ya jiji:

Tegeta (Fairway), Bunju (Kibila), Airport (Highway), Tabata (Baracuda), Mbagala (Rangi Tatu), Kigamboni(Pale nanniii), Temeke/Chang'ombe (RV), Mbezi/Africana (T-Square/Nyamachoma/Nguruko), Kimara (Kuanzia Lavena hadi Luguruni Park)

Mkuu nakuuunga mkono, lakini kwa leo ni RG kwani hata nyauba ameingia mitini
 
wAKUU

leo nina hamu sana ya kupata nyama ya kuku ya kuchoma au samaki wa foil nikiwa na wana JF

kama Kawa Geoff yuko fasta sana; lakini naomba leo tuwe wengi kidogo tushushie na fanta za baridi au serengeti ya uvuguvugu; na pesa inaruhusu, basi tuchape na red label

mko available au tuahirishe?

DN

Hii kitu imekaa poa sana.... Sasa kwa nini tusifanye ijumaa mkuu? maana sisi wengine tukila maji ya mende gari kesho yake haiwaki ina park home.
 
DN, jana udhuruu leo vipii..kwa kisamoo hapo nyuma ya best bite (kibo bar) kwenye garage ya mabenz utanikuta 3pm..nitakuwaa na ndovuu baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom