mbona kwa kisamo ndo bomba kwa nyama choma kwa foil!!
ewaaaaa!! hapo sasa umenena wa kwetu!
kazi na dawa ndo mpango G!!!I wish I could be there, nice time guys ila kumbukeni kesho ni siku ya kazi!
mie napajua kwa RG huyo kisamo sina uhakika, ni pale nyuma ya best bite kwenye gereji ya mabenzi?
Mkuu,
Nyama choma zinapatikana NJE ya jiji:
Tegeta (Fairway), Bunju (Kibila), Airport (Highway), Tabata (Baracuda), Mbagala (Rangi Tatu), Kigamboni(Pale nanniii), Temeke/Chang'ombe (RV), Mbezi/Africana (T-Square/Nyamachoma/Nguruko), Kimara (Kuanzia Lavena hadi Luguruni Park)
Mkuu nakuuunga mkono, lakini kwa leo ni RG kwani hata nyauba ameingia mitini
Mnajua Nyama choma yaenda na nini?
wAKUU
leo nina hamu sana ya kupata nyama ya kuku ya kuchoma au samaki wa foil nikiwa na wana JF
kama Kawa Geoff yuko fasta sana; lakini naomba leo tuwe wengi kidogo tushushie na fanta za baridi au serengeti ya uvuguvugu; na pesa inaruhusu, basi tuchape na red label
mko available au tuahirishe?
DN