pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
- Thread starter
- #61
Du Kwakweli mimi nina ubongo mzito sana kuelewa. alikuachia simu yake na lain ndani au?
Akasahau kutoa pasiwedi, je ulikuwa unaijua mwanzo?
TECHMAN ukimpa mtu cm bila kuondoa account yako ya gmail hata ukitoa simcard ataendelea kupata sms za baadhi ya app kama Facebook, viber, na email zote zinazoingia hicho ndicho kilichofanyika.
Last edited by a moderator: