Nina furaha moyoni

Nina furaha moyoni

hiyo namwachia na hii yakwake nampa.
Na mzigo akagawe pia
ww jasiri unagongewa papuchi bado unamtajirisha unafikiri Kimburu atarudi nyuma
hapo kanyanyuka na gia ya simu kubwa hatakosa biashara
 
Vijana wa siku hizi siyo wavumilivu kabisa katika mapenzi.utaacha wangapi sasa?
 
Hahahaaaa....nimechekaa hadi basi, ulikuwa unatafuta sababu tuu au sio? Hiyo furaha yake kama umeangushwa kwenye penalty box.....!
 
haaaa....kabla ya yote chukua simu yako kwanza....afu ndiyo umpige chini....

hivi unajua una vimeo afu unamchanganya kimeo na njiaa kuu kwenye simu moja......ndiyo maana wengine wana simu mbili moja ya vimeo ....moja na ya njia kuu....hii line ya njia kuu hakuna kimeo hata mmoja anayejua......

kwa tukio kama hilo mambo yanaweza kuwa vilevile tu
 
Nina mpz wangu nilishahisi anansaliti Jana tulikutana nikiwa na ka note3 mpya si akai mind akang'ang'ania nimpe nikamwambia kwa kuwa sina sim nyingine aniachie nikishanunua ndo achukue hii.
akagoma lazma nimwachie akanambia nichukue ya kwake kwa mda. nami kwa mapenzi yangu kwake nkampa akujua nilikuwa naitafta hiyo simu yake kwa mda mrefu niimiliki.
namimi sikupoteza mda nikaanza kutoa laini zangu na yeye akaanza kufuta sms nikamwambia toa lain akasema subiri kuna notes humu ngoja nifute akafuta.
aka uninstall baadhi ya app kimoyomoyo nilikua naomba asitoe password kweli akasahau kwa sababu nilimtinga sana.
nimezi install saivi nakula uhondo sms zake nazipata Nina furaha kwa sababu leo naenda kumpiga chini.

Nafikiri ulikuwa umeshamchoka tayari ulikuwa unatafuta sababu na sasa umeipata ndiyo mana una furaha. Kama ungelikuwa unampenda usingelikuwa na furaha kiasi hicho. Lakini ndio mapenzi ya siku hizi ni kutafutiana sababu za kupigana chini. Nakushauri ungempa muda ajieleze pengine labda simu hiyo imewahi kutumiwa na mdogo wake au rafiki yake au mtu mwingine kabla au akiwa anaimiliki kwa kuazimwa.
 
Nafikiri ulikuwa umeshamchoka tayari ulikuwa unatafuta sababu na sasa umeipata ndiyo mana una furaha. Kama ungelikuwa unampenda usingelikuwa na furaha kiasi hicho. Lakini ndio mapenzi ya siku hizi ni kutafutiana sababu za kupigana chini. Nakushauri ungempa muda ajieleze pengine labda simu hiyo imewahi kutumiwa na mdogo wake au rafiki yake au mtu mwingine kabla au akiwa anaimiliki kwa kuazimwa.
 
Nafikiri ulikuwa umeshamchoka tayari ulikuwa unatafuta sababu na sasa umeipata ndiyo mana una furaha. Kama ungelikuwa unampenda usingelikuwa na furaha kiasi hicho. Lakini ndio mapenzi ya siku hizi ni kutafutiana sababu za kupigana chini. Nakushauri ungempa muda ajieleze pengine labda simu hiyo imewahi kutumiwa na mdogo wake au rafiki yake au mtu mwingine kabla au akiwa anaimiliki kwa kuazimwa.
CC.. Pakaywatek
 
Nina mpz wangu nilishahisi anansaliti Jana tulikutana nikiwa na ka note3 mpya si akai mind akang'ang'ania nimpe nikamwambia kwa kuwa sina sim nyingine aniachie nikishanunua ndo achukue hii.
akagoma lazma nimwachie akanambia nichukue ya kwake kwa mda. nami kwa mapenzi yangu kwake nkampa akujua nilikuwa naitafta hiyo simu yake kwa mda mrefu niimiliki.
namimi sikupoteza mda nikaanza kutoa laini zangu na yeye akaanza kufuta sms nikamwambia toa lain akasema subiri kuna notes humu ngoja nifute akafuta.
aka uninstall baadhi ya app kimoyomoyo nilikua naomba asitoe password kweli akasahau kwa sababu nilimtinga sana.
nimezi install saivi nakula uhondo sms zake nazipata Nina furaha kwa sababu leo naenda kumpiga chini.

Hahahaaaa babuweee kwa taarifa yako ushaachwa siku nyiingiii na umepewa hiyo simu ujimalize mwenyewe na chagua kumeza au kutema inakuhusu wewe! Note 3 iyoooooo imepepea na wewe umepeperushwa..
 
kumbe ulidhani ni wa kwako pekeako eeh, karne hii? Hapa africa kwetu? hahahaa pole mkuu. mapenzi ya siku hizi ni full 'upatu'
 
Hahahaaaa babuweee kwa taarifa yako ushaachwa siku nyiingiii na umepewa hiyo simu ujimalize mwenyewe na chagua kumeza au kutema inakuhusu wewe! Note 3 iyoooooo imepepea na wewe umepeperushwa..

mmh, ndo wewe umechukua note3 ya jamaa eeh. hehehe
 
Nina mpz wangu nilishahisi anansaliti Jana tulikutana nikiwa na ka note3 mpya si akai mind akang'ang'ania nimpe nikamwambia kwa kuwa sina sim nyingine aniachie nikishanunua ndo achukue hii.
akagoma lazma nimwachie akanambia nichukue ya kwake kwa mda. nami kwa mapenzi yangu kwake nkampa akujua nilikuwa naitafta hiyo simu yake kwa mda mrefu niimiliki.
namimi sikupoteza mda nikaanza kutoa laini zangu na yeye akaanza kufuta sms nikamwambia toa lain akasema subiri kuna notes humu ngoja nifute akafuta.
aka uninstall baadhi ya app kimoyomoyo nilikua naomba asitoe password kweli akasahau kwa sababu nilimtinga sana.
nimezi install saivi nakula uhondo sms zake nazipata Nina furaha kwa sababu leo naenda kumpiga chini.

Upuuzi mtupu. Sasa hapa ndio umeanzisha topiki gani? haya mambo ya ki.pu.m.ba.vu peleka kule face book kwa marafiki zako. Tumechoka kusoma mada za kitoto. Umejiunga juzi tu hapa JF, halafu unaanza kuandika uharo. Koma kabisa. Usituchafulie jukwaa letu tukufu. Umeniudhi sana.
 
kwa tukio kama hilo mambo yanaweza kuwa vilevile tu

ah wapi labda useme za mwizi zimefika.....hiyo simu ya vimeo pia njia kuu anakuwa haijui....na siku unaenda kukutana na njia kuu hiyo simu unaiacha nyumbani......hautembei nayo na ikitokea umetembea nayo siku hiyo....basi unazima......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom