VAN HEIST
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 1,434
- 617
wewe ni panya road?
uliza kwa sauti ndogo kuna polisi humu... mimi ndo mkuu wao
wewe ni panya road?
​Samahani mkuu, nimeponda jiwe gizani sikujua lingkupataheshima tafadhali""
Na mzigo akagawe piahiyo namwachia na hii yakwake nampa.
haaaa....kabla ya yote chukua simu yako kwanza....afu ndiyo umpige chini....
hivi unajua una vimeo afu unamchanganya kimeo na njiaa kuu kwenye simu moja......ndiyo maana wengine wana simu mbili moja ya vimeo ....moja na ya njia kuu....hii line ya njia kuu hakuna kimeo hata mmoja anayejua......
kama una mpango wa kumwachia hiyo note 3 niagize mimi nikampokonye
Haaahaa umenifanya nicheke sana..kama una mpango wa kumwachia hiyo note 3 niagize mimi nikampokonye
Nina mpz wangu nilishahisi anansaliti Jana tulikutana nikiwa na ka note3 mpya si akai mind akang'ang'ania nimpe nikamwambia kwa kuwa sina sim nyingine aniachie nikishanunua ndo achukue hii.
akagoma lazma nimwachie akanambia nichukue ya kwake kwa mda. nami kwa mapenzi yangu kwake nkampa akujua nilikuwa naitafta hiyo simu yake kwa mda mrefu niimiliki.
namimi sikupoteza mda nikaanza kutoa laini zangu na yeye akaanza kufuta sms nikamwambia toa lain akasema subiri kuna notes humu ngoja nifute akafuta.
aka uninstall baadhi ya app kimoyomoyo nilikua naomba asitoe password kweli akasahau kwa sababu nilimtinga sana.
nimezi install saivi nakula uhondo sms zake nazipata Nina furaha kwa sababu leo naenda kumpiga chini.
Nina mpz wangu nilishahisi anansaliti Jana tulikutana nikiwa na ka note3 mpya si akai mind akang'ang'ania nimpe nikamwambia kwa kuwa sina sim nyingine aniachie nikishanunua ndo achukue hii.
akagoma lazma nimwachie akanambia nichukue ya kwake kwa mda. nami kwa mapenzi yangu kwake nkampa akujua nilikuwa naitafta hiyo simu yake kwa mda mrefu niimiliki.
namimi sikupoteza mda nikaanza kutoa laini zangu na yeye akaanza kufuta sms nikamwambia toa lain akasema subiri kuna notes humu ngoja nifute akafuta.
aka uninstall baadhi ya app kimoyomoyo nilikua naomba asitoe password kweli akasahau kwa sababu nilimtinga sana.
nimezi install saivi nakula uhondo sms zake nazipata Nina furaha kwa sababu leo naenda kumpiga chini.
Hahahaaaa babuweee kwa taarifa yako ushaachwa siku nyiingiii na umepewa hiyo simu ujimalize mwenyewe na chagua kumeza au kutema inakuhusu wewe! Note 3 iyoooooo imepepea na wewe umepeperushwa..
Nina mpz wangu nilishahisi anansaliti Jana tulikutana nikiwa na ka note3 mpya si akai mind akang'ang'ania nimpe nikamwambia kwa kuwa sina sim nyingine aniachie nikishanunua ndo achukue hii.
akagoma lazma nimwachie akanambia nichukue ya kwake kwa mda. nami kwa mapenzi yangu kwake nkampa akujua nilikuwa naitafta hiyo simu yake kwa mda mrefu niimiliki.
namimi sikupoteza mda nikaanza kutoa laini zangu na yeye akaanza kufuta sms nikamwambia toa lain akasema subiri kuna notes humu ngoja nifute akafuta.
aka uninstall baadhi ya app kimoyomoyo nilikua naomba asitoe password kweli akasahau kwa sababu nilimtinga sana.
nimezi install saivi nakula uhondo sms zake nazipata Nina furaha kwa sababu leo naenda kumpiga chini.
kwa tukio kama hilo mambo yanaweza kuwa vilevile tu