sqianne
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 493
- 980
Nimejaribu kuingia branch za bank kadhaa hapa makao makuu ya nchi naambiwa hawazinunui.
Mliopo Dar au mnaoshughulika na maswala ya ubadirishaji wa fedha za kigeni nipeni taarifa kama nitaweza kuzibadili.
Mliopo Dar au mnaoshughulika na maswala ya ubadirishaji wa fedha za kigeni nipeni taarifa kama nitaweza kuzibadili.