wadau naomba msaada nina div 3 point 13_phy_E,chem_D, na maths_D naweza kupata chuo? Msaada wanajamvi
unaweza kupata ila USHAURI kuwa makini na uchaguzi wako wa kozi pia kuna VYUO kama ARDHI msikisahau kina kozi nzuri sana na wana cut-off point ndogo ...vp kwa matokeo kama hayo bt kuna F ya GS kuna mkopo hapo? kwa kozi za engineering
wadau naomba msaada nina div 3 point 13_phy_E,chem_D, na maths_D naweza kupata chuo? Msaada wanajamvi