Nina amkiwa sana. Hivi ndiyo nishakua mhenga hivi au ndo wameona sina hela?

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Mar 8, 2019
366
1,379
Ujue mpaka sasa sielewi inakuaje

Hapa nilipo mi nikijana mdogo mdogo wa miaka 35, maskini tu japo nina degree ya wanyamapori kutoka SUA.

Huku mtaani ninakoishi jijini Mwanza jamanii eeeh naamkiwa na mabinti hadi kero, sijui hawa mabinti lengo lao kuninyima nini. Huwa najiuliza hizi mvi kwenye ndevu ndo tatizo la mimi kuonekana mzee!! Au shida ni nini!
 
Ujue mpaka sasa sielewi inakuaje

Hapa nilipo mi nikijana mdogo mdogo wa miaka 35, maskini tu japo nina degree ya wanyamapori kutoka SUA.

Huku mtaani ninakoishi jijini Mwanza jamanii eeeh naamkiwa na mabinti hadi kero, sijui hawa mabinti lengo lao kuninyima nini. Huwa najiuliza hizi mvi kwenye ndevu ndo tatizo la mimi kuonekana mzee!! Au shida ni nini!
Msuli wa SUA umekuzeesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kijana mdogo? Bado miaka 10 ufike 45 ukose vigezo vya kupata ajira serikalini.

Ni umri ambao unatakiwa uwe na mchumba au mke, uwe na kazi ya kukuingizia kipato na ikiwezekana uwe na kiwanja ama asset ya aina yeyote maana mwanaume maisha yanaanza ukiwa na miaka 40
 
Wewe kijana mdogo? Bado miaka 10 ufike 45 ukose vigezo vya kupata ajira serikalini.

Ni umri ambao unatakiwa uwe na mchumba au mke, uwe na kazi ya kukuingizia kipato na ikiwezekana uwe na kiwanja ama asset ya aina yeyote maana mwanaume maisha yanaanza ukiwa na miaka 40

35 sio kijana mdogo

Lakini hizo anatakiwa hivi,anatakiwa vile sio kweli...pesa inatafutwa,kwenye kutafuta hakuna specific age ya kutakiwa kuwa umepata
 
Umeshazeeka ndugu yangu na ukiunganisha na kupigika basi unaonekana kikongwe sana. Pole sana ukubwa haupigi hodi unajikuta tu humo
 
Ujue mpaka sasa sielewi inakuaje

Hapa nilipo mi nikijana mdogo mdogo wa miaka 35, maskini tu japo nina degree ya wanyamapori kutoka SUA.

Huku mtaani ninakoishi jijini Mwanza jamanii eeeh naamkiwa na mabinti hadi kero, sijui hawa mabinti lengo lao kuninyima nini. Huwa najiuliza hizi mvi kwenye ndevu ndo tatizo la mimi kuonekana mzee!! Au shida ni nini!
Chai
 
Ujue mpaka sasa sielewi inakuaje

Hapa nilipo mi nikijana mdogo mdogo wa miaka 35, maskini tu japo nina degree ya wanyamapori kutoka SUA.

Huku mtaani ninakoishi jijini Mwanza jamanii eeeh naamkiwa na mabinti hadi kero, sijui hawa mabinti lengo lao kuninyima nini. Huwa najiuliza hizi mvi kwenye ndevu ndo tatizo la mimi kuonekana mzee!! Au shida ni nini!
Mwenzio mtu asiponiamkia najiskia vibaya saizi napenda ila Kuna kipindi nilikuwa napata shida kama.wewe baadae nikajua ahaa ni personality ndio inanipa heshima
 
Wewe kijana mdogo? Bado miaka 10 ufike 45 ukose vigezo vya kupata ajira serikalini.

Ni umri ambao unatakiwa uwe na mchumba au mke, uwe na kazi ya kukuingizia kipato na ikiwezekana uwe na kiwanja ama asset ya aina yeyote maana mwanaume maisha yanaanza ukiwa na miaka 40
Below 40 ni kimasihara??

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom