Nina akili kama kompyuta

Nina akili kama kompyuta

UMASIKINI BWANA

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2013
Posts
942
Reaction score
567
Habari wana JF,

Katika mikikimikiki ya maisha nimejigundua nina uwezo mkubwa sana wa akili katika mambo mengi ya kimaisha. Nina uwezo wa hali ya juu wa kujua nini kitatokea kesho, jinsi ya kusoma akili za watu kwa usahihi kabisa na si kujisifia.

Kiufupi nina akili za ziada ambazo ni adimu. Nina uwezo wa kutatua jambo lililoshindwa na watu wengi na likafanikiwa. Kama una jambo gumu liweke wazi.
 
Rethinking is innevitable...
 
akili zako ndogo na zina ufinyu wa uekewa. Huwezi kujilinganisha na computer iliyo buniwa na kutengenezwa na binadamu wenzako au na wewe unapokea command from somewhere else kama computer?
 
Je nn hatima ya UKUTA na baba mwenye nyumba.?
 
Habari wana JF,

Katika mikikimikiki ya maisha nimejigundua nina uwezo mkubwa sana wa akili katika mambo mengi ya kimaisha. Nina uwezo wa hali ya juu wa kujua nini kitatokea kesho, jinsi ya kusoma akili za watu kwa usahihi kabisa na si kujisifia.

Kiufupi nina akili za ziada ambazo ni adimu. Nina uwezo wa kutatua jambo lililoshindwa na watu wengi na likafanikiwa. Kama una jambo gumu liweke wazi.
Hongera mkuu mimi nakuamini!!
 
akili zako ndogo na zina ufinyu wa uekewa. Huwezi kujilinganisha na computer iliyo buniwa na kutengenezwa na binadamu wenzako au na wewe unapokea command from somewhere else kama computer?
Computer sio intelligent zaidi ya binadamu....Mpaka leo watalamu wa kitu kinaitwa artificial neurons wameshindwa kuiga reasoning process ya binadamu kwa asilimia..Computer inamzidi binadamu kwenye umakini tu wa tasks kubwa lakini sio suala la intelligence.. Kama unabishaa niendelee kukupa somo....Computer itakuwa intellligent zaidi ya binadamu iwapo itaweza kujifunza kama binadamu na kufanya ugunduzi kama binadamu.
 
Habari wana JF,

Katika mikikimikiki ya maisha nimejigundua nina uwezo mkubwa sana wa akili katika mambo mengi ya kimaisha. Nina uwezo wa hali ya juu wa kujua nini kitatokea kesho, jinsi ya kusoma akili za watu kwa usahihi kabisa na si kujisifia.

Kiufupi nina akili za ziada ambazo ni adimu. Nina uwezo wa kutatua jambo lililoshindwa na watu wengi na likafanikiwa. Kama una jambo gumu liweke wazi.
Nina upako wa kujua wahuni wanaotaka kutapeli watu. Kama una shida njoo nIkwambie nani tapeli wa kutumia shida za watu! KARIBU
 
Back
Top Bottom