Nina akili kama kompyuta

Nina akili kama kompyuta

Computer sio intelligent zaidi ya binadamu....Mpaka leo watalamu wa kitu kinaitwa artificial neurons wameshindwa kuiga reasoning process ya binadamu kwa asilimia..Computer inamzidi binadamu kwenye umakini tu wa tasks kubwa lakini sio suala la intelligence.. Kama unabishaa niendelee kukupa somo....Computer itakuwa intellligent zaidi ya binadamu iwapo itaweza kujifunza kama binadamu na kufanya ugunduzi kama binadamu.
Maelezo hayo MPE mtoa mada anye jilinganisha na computer ndio maana nimemwambia akili zake finyu kujilinganisha na kitu kilicho buniwa na mwanadamu.

au na wewe hukunielewa nilimaanisha nini?
 
Maelezo hayo MPE mtoa mada anye jilinganisha na computer ndio maana nimemwambia akili zake finyu kujilinganisha na kitu kilicho buniwa na mwanadamu.

au na wewe hukunielewa nilimaanisha nini?
Huyo jamaa kujilingalinisha na kompyuta ilikuwa ni kama figure of speech...Sijaona alichokoseaaa...
 
Kama kweli una akili nyingi
Mpaka hapo ulipofika jiulize umeifanyia nn Tanzania...!
 
Back
Top Bottom